Wakuu Mbona hamtupendi Wachagga jameni? Mara CRDB ya wachaga,,mara CHADEMA ya Wachagga na bla bla kibao,,,,,acheni unafiki,, kama wachaga tunajitahidi kupiga shule ina maana hatuna haki ya kupata hizo nafasi?? Na kuna ushahidi gani wowote kwamba wanaofanya kazi CRDB ni Wachagga watupu au 7babu...