SAM BILGATE
Member
- Feb 11, 2013
- 28
- 6
Na kwa walioko mikoani application zote mpaka ziende azikiwe,sababu nafahamu zonal office nao hua wanaajili,
manake mi niko kijijini kwa wazee nakusanya nguvu ya kukaa mjini nikiendelea kuapply'
CRDB hawana zonal Offices ndgu yangu