Recent content by salma star

  1. salma star

    Simba Yaweka Rekodi ya Dunia na Dreamliner

    Hao watu ni malimbukeni wa kutupwa , Rage hakukosea kuwaita mambumbumbu
  2. salma star

    Wanaume wa kikristo wanaongoza kwa michepuko!

    Dini yenyewe haijui huyu achana nae
  3. salma star

    Wanaume wa kikristo wanaongoza kwa michepuko!

    Wa kumuhurumia tu huyu mkuu
  4. salma star

    Huu ni Uzi maalum wa kulaani matukio mabaya yanayotokea ndani na nje ya nchi yetu.

    Walaaniwe wowote wanaokaa kupanga mauji ya wanadamu wenziwe
  5. salma star

    Inawezekanaje kutumia milioni kumi kwa siku moja kwa matibabu ya Lisu?

    Wa kumuhurumia tu huyu hajui anachokisema
  6. salma star

    Inawezekanaje kutumia milioni kumi kwa siku moja kwa matibabu ya Lisu?

    Mambo mengine haya kuhusu jifunze kunyamaza kimya
  7. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Haya sasa umeyaleta wewe hii ni dalili ya kuishiwa hoja ..tumia akili kidogo , weka udini na jazba pembeni utaelewa kusudi la mada hii
  8. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Najua kilichokuuma nikuona nimebadiri dini lkn nikwambie kitu sina sababu ya kudanganya ..pambana na hali yako acha kutoa povu
  9. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Hakuna shida mkuu uasherati wangu ndiyo ulifanya Yesu anigeuze imani ...sasa nipo salama
  10. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Hapana mkuu ntabaki na jina hili hili milele lkn Yesu akiwa ndani yangu
  11. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Wewe mwenyewe ni mzinifu mzuri tu uliyejificha kwenye uislam
  12. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Hata nikiingia haikuhusu pambana kuokoa nafsi yako yangu IPO salama ktk Kristo Yesu aliyekufa akafufuka
  13. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Unajisikitisha mwenyewe mm sikuhusu hata kidogo, pia sijakulazimisha kuamini nilichoandika...pambana na hali yako achana na salma maana hakuhusu. Unajifanya mcha mungu huna lolote dhambi unafanya kama kawaida ....kama unadhani nimepotea huo ni mtazamo wako tu maana hata hayo unayoyaamini huna...
  14. salma star

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Mkuu kuna watu wana mawazo ya kimasikini sana binafsi watu kama hao huwa sitaki kuwaamsha wache waendelee kutokuamini
Back
Top Bottom