Hmmm. Hatar sana hii. Hivi nyinyi vijana wa tz. Mnajuwa nn maana ya siasa. Naona vijana hamjuwi nn maana ya. Ushabiki. Siass sio timu za mpira siasa ni. Mizani ya kupima. Wapi unatakiwa kufata kutokana na sera. Bora leo. Zitto anaongelea. Ndege. Inamaana mh zitto. Anazo habar zote za ndege hizo.
Kaka. Pasco. Mm. Yote hiyo. Sina sna shida mm tatizo langu hii ndege ni. Kubwa sana. Kwann tustafute B737-800 new. Vasion. Maana. Sisi. Atcl. Sifikirii kama. Tunawez kufanya ushindani na. Ethiopian nasema hayo kwa upande wa biashar au flight route. Tunakwenda wpi na wapi kubeba abiria na...
Mh. Poepole. Wewe.umechelewa kuja mjini na. Sio ww.tu wengi na hamkijuwi chama vizur. Miaka ya zaman kidogo. Zanzibar. Kulikuwa na mama inasemekana. Alikuwa mzambia na alikuwa mmoja wa kiongozi mkubwa sana anaitwa kastiko. Alifanywa nn na ccm ?? Kwann mnashindwa sasa. Kwa makonda ??
Hawezi kumtoa. Bashite. Maana yy ndio fitna kubwa. Kamfanyia mwenye kiti. Kinondon. Madabida sababu apewe nafasi yy. Sasa tunasema watoto wa mjini. Jogoo la shamba aliwiki mjini
Ushawahi kuona mtu. Anashangilia. Ujinga. Bas Ndio huu. Niliwahi kusema watu wengi wa tz. Hatujuwi nn maana ya. Kazi ya upinzani. Bunge. Hata ukosowaji wa serikali. Leo. Mulize mtoa mada. Je. Nani. Alimpa habari magu. Kuteuwa. Mkuu wa kitengo cha drugs. Ni. Mpinzan wao walikuwa na vikao. Kila...
Ukitazama sana uhalisia wa hii no ya mwanamme masogange. Serikali imekosea. Sana leo kumkamata huyu mdada. Sku hile anarudi toka south Africa alivoachiwa kutokana na hii kesi ilikuwa akamatwe pale airport. Lakin leo mnamkamata kwa lipi. Kumbuka habar iliyokuja toka south walisema hakuwa na...
Usituchanganye na ujinga wako. Toka zako. Mshamba weee. Ujuwi kitu tena nafikir hata huo unga unaosemwa ujawahi kuuona. Wacha uvccm kumtetea makonda amekosea. Watu wa. Madili wamempeleka choo cha kike.
Zaman nakumbuka sana ulikuwa Na uwezi kuwa kada wa ccm bilateral relations kusomeshwa miez sita. Leo hii. Uvccm aanachofikiria madaraka tuu sasa wanaumbuka.
Kuna tatizo kubwa sana nchii na kama. Ccm hawajakaa na kulifanyia kazi litaleta balaa baadae. Waswahili wana msemo unasema. Ukicheza na mbwa. Atakufata. Msikitin na uvccm. Washaingia msikitini. Maana nchii inaongozwa na vyama viwili. Ccm na uvccm. Wamekuwa wa roho wa madaraka. Hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.