rabda ni kupe mfano rahc ikiwa ww ni miongoni mwa wazaz waliopoteza watoto wao wapendwa baada ya watoto wao kjinyonga kutokana na matokeo ma baya halaf matokeo ya pili yaka toka ame faulu utaendelea kuipongeza ama kchukia serikali ambayo una endelea kuitetea hapo?
mi naona kama wata tangaza atokeo mapya zaid ya yale ya awali wata sababsha kuto aminika tena na matokeo yao. napia watoe tamko kwamba wame jipanga vp ku hakikisha suala hili hali tokei tena,? ikiwa mpaka sasa hv sabab zote zilizo changia matokeo hayo mabov zina onekana kiutendaji ktk secta zote...
ki ukweli hata mi na sikitishwa sana na suala la necta kukaa kimya kiasi hk. mbaya zaidi kuna tetec kwamba body ya miko imesha tangaza muda ambao wanafunz wanao taka kujiunga na vyuo vikuu wafanye aplication za mikopo hiyo huku wakiwa hawajui kama wame faulu ama wame feli... hili li 2acha njia...
pengine ni tofaut zetu wenyewe watanzania zilizo pelekea kutafuta watu wa kigen ili kuficha ubaya ambao tuna fanyiana sisi kwa sisi. na ndo mana jambo lilipo tokea walianza ku focus kwenye tofaut za kidini zinazo endelea hapa hapa kwetu.. suala la msing ni kujtahid kumaliza tout zet mapema ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.