Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,579
- 1,080
Ni kweli mkuu hatujui kusoma basi hata pichaaa jamanii???una maana gani mkuu!!!!!! hausomeki yakhe!!!!!!!!!!
una maana gani mkuu!!!!!! hausomeki yakhe!!!!!!!!!!
Huyu muungwana anakuonesha picha ya ndege ya Air Mauritius, nchi ndogo sana kieneo na hata kirasilimali inaweza kuwa na hiyo ndege lakini hii nchi ya kifisadi licha ya utajiri wote tulionao hatumudu hata ndege moj!!! Hiyo inayoruka ilinunuliwa na Mchina ambae nae alitaka tumpe mgodi wetu wa Almasi kwa kutulaghai na alipoona hatumpi akasepa!!!
Ndege tunazo hadi wizara moja inauza ndege kwa laki tano
Mimi nazungumzia Air Tanzania,,,iko wapi? inafanya nn?Nchi yetu haina ndege lakini raia wake mmoja mmoja wanamiliki, kama hauamini njoo arusha uone.
Nchi yetu haina ndege lakini raia wake mmoja mmoja wanamiliki, kama hauamini njoo arusha uone.
Ama kweli hili jukwaa ndio maana likaitwa "...of Great Thinkers". Wenye hekima watakuwa wamekwisha kuelewa vizuri.Mimi nazungumzia Air Tanzania,,,iko wapi? inafanya nn?
Acha kutoka mapovu kaka....Nieleweshe basi mkuu na mimi niwe Great thinker.....Mimi sijali nani anamiliki ndege nani hamiliki nazungumzia Air Tanzania iko wapi?? na hata juzi juzi wakati inasusua walikuwa wana vindege vya ajabu mnoo na zimechoka sana.Iweje nchi kama Mauritius wanakua na Boing za kutosha???Ama kweli hili jukwaa ndio maana likaitwa "...of Great Thinkers". Wenye hekima watakuwa wamekwisha kuelewa vizuri.
Safari za Ungo ni faster balaa! kufumba na kufumbua unatua ..na kufumba na kufumbua huyo...umesharejea home base! Na utajiri wa watu wa Ungo usipime... kwani licha ya ukwasi unaojidhihirisha kwa vitega uchumi, lakini Ni mwiko kwa kibopa kutanua....chakula ni makande na si pilau, biriani ama wali; Kulala ni katika jamvi, na si katika uwanja wa sita kwa sita na juu kukiwa na godoro la dodoma ama comfy....nasikia ukitaka uroda sharti utafute pori, hata km ni kutoka kwa mamsap wako uliyemrasimisha kanisani; Na ili kufikia hapo lazima utoe kafara ya kuua Mzazi wako, ama Mtoto wako!!!Tz imepiga hatua zaidi watu hawataki hizo wanatumia vitu vya mwendo kasi zaidi by night.Mpango wa check in,sijui boarding pass ni kupotezeana muda tu
Mimi nazungumzia Air Tanzania,,,iko wapi? inafanya nn?