Habari wana JamiiForum, naitwa Christina umri miaka 28. Namtafuta baba yangu mzazi kwani toka nimezaliwa sijawahi kumuona zaidi ya kuambiwa alipokuwa akiishi na mama yangu alishafariki lakini kabla ya kufariki nikiwa na miaka 12 alinambia kwamba baba yangu alimpa ujauzito wakati akiwa anafanya...
Nyie hamjui kuwa mtoto wa kike anampenda babaake sana na ni nature ndio maana wakiwa wakibwa watoto wakike lazima wagombane na mama yao kama mama yao anamchukulia poa babaaao yaani haoneshi mapenzi ya dhati japo hii hali hupelekea watu kuhisi tofauti kwani inaweza pitiliza mipaka sio wote...
Mi ninachoona ni kwamba hata ukifanya kazi ukapata hela uhalisia wa bidhaa na hela hauko sawa kwani unatumia nguvu nyingi kupata hela halafu unanunua kitu kidogo
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.