Hi JF, MMU in particular.
Leo nimeshikwa na mfadhaiko mkubwa sana. Sikujua nini kimetokea ila kifupi nimepoteza credit kwa mrembo huyu.
Kifupi, imenichukua muda mrefu na lasilimali pesa na muda vimetumika sana mpaka kukubaliwa na mrembo huyu.
Amelazimika kusafiri toka Arusha, nilifanikiwa kumuaanda kwa mchezo wetu ule pendwa, kwa ishara zote za text, mrembo alikua tayari kwa show ya kibabe
Mfadhaiko wangu ulitokana na kile kilichotokea baada ya bao la Kwanzaa @ gafla, nilikuja kuamuka toka usingizini, mrembo akiniambia pole, umekoloma sana nimeona nikuamushe ukaoge, nahisi hujalala week nzima .
Kwa unyonge nilijitahidi nikaenda kuoga, nikiwa bafuni nikawa najaribu kurecall nini kilitokea? Nilitumia muda gani kuperfom mechi Ile? , Kabla ya kulala nilikua nikiongea maneno gani? Japo sikupata majibu, nililejea chumbani nikiwa mnyonge.
Sikutaka kusema mengi, nilijipaka lotion na kupanda kitandani. Mrembo alikua amelala, sikutaka kumsumbua, nilivuta shuka nikalala pia.
Sikupata usingizi tena, swali kubwa ambalo akili yangu ilikua inalitafakari ni nini kilitokea baada ya mechi hadi nikalala vile?
*Uzoefu wangu ulinitesa, kwangu huwa ni marufuku kulala kama demu yuko chumbani na hajavaa chupi *****
Ilipofika mida ya saa kumi ,niliazimia kusahiisha makosa ikiwa mechi ya Kwanza nilichemka .
Nilimkubatia mrembo vizuri, aligundua niko kazini tayari, akanipa ushirikiano wote
Tulipiga mechi taratibu kwa kuzingatia sheria zote za Fifa.
Nilikuja kushituliwa na mlio wa simu tayari kigiza nje kimeshaanza kuingia, lakini wakati wote huo nilikua kifuani mwa mrembo huyu.
Wakati tunapata dinner , Licha ya maneno mengi ya sifa juu ya mechi, akili yangu ilikua bado imejaa mfadhaiko juu ya bao la kwanza.
Kadhia hii imenipa kutafakari sana, kama mimi nimefadhaika kwa kupiga bao la Kwanzaa chapuchapu na kulala fofofo....!!! Vipi washikaji amabao jongoo hushindwa kupanda mtungi???
Nimekuja kuamini uanaume ni uwezo wa kusimika mpiniiiiiiii.......!!!!! Otherwise hata uwe bill gate hutokaa ujiamini kabisa.
Wakuu ebu leteni uzoefu wenu jinsi bao la Kwanzaa lilivyowahi kukuondolea confidence!!!!!
Regards
Leo nimeshikwa na mfadhaiko mkubwa sana. Sikujua nini kimetokea ila kifupi nimepoteza credit kwa mrembo huyu.
Kifupi, imenichukua muda mrefu na lasilimali pesa na muda vimetumika sana mpaka kukubaliwa na mrembo huyu.
Amelazimika kusafiri toka Arusha, nilifanikiwa kumuaanda kwa mchezo wetu ule pendwa, kwa ishara zote za text, mrembo alikua tayari kwa show ya kibabe
Mfadhaiko wangu ulitokana na kile kilichotokea baada ya bao la Kwanzaa @ gafla, nilikuja kuamuka toka usingizini, mrembo akiniambia pole, umekoloma sana nimeona nikuamushe ukaoge, nahisi hujalala week nzima .
Kwa unyonge nilijitahidi nikaenda kuoga, nikiwa bafuni nikawa najaribu kurecall nini kilitokea? Nilitumia muda gani kuperfom mechi Ile? , Kabla ya kulala nilikua nikiongea maneno gani? Japo sikupata majibu, nililejea chumbani nikiwa mnyonge.
Sikutaka kusema mengi, nilijipaka lotion na kupanda kitandani. Mrembo alikua amelala, sikutaka kumsumbua, nilivuta shuka nikalala pia.
Sikupata usingizi tena, swali kubwa ambalo akili yangu ilikua inalitafakari ni nini kilitokea baada ya mechi hadi nikalala vile?
*Uzoefu wangu ulinitesa, kwangu huwa ni marufuku kulala kama demu yuko chumbani na hajavaa chupi *****
Ilipofika mida ya saa kumi ,niliazimia kusahiisha makosa ikiwa mechi ya Kwanza nilichemka .
Nilimkubatia mrembo vizuri, aligundua niko kazini tayari, akanipa ushirikiano wote
Tulipiga mechi taratibu kwa kuzingatia sheria zote za Fifa.
Nilikuja kushituliwa na mlio wa simu tayari kigiza nje kimeshaanza kuingia, lakini wakati wote huo nilikua kifuani mwa mrembo huyu.
Wakati tunapata dinner , Licha ya maneno mengi ya sifa juu ya mechi, akili yangu ilikua bado imejaa mfadhaiko juu ya bao la kwanza.
Kadhia hii imenipa kutafakari sana, kama mimi nimefadhaika kwa kupiga bao la Kwanzaa chapuchapu na kulala fofofo....!!! Vipi washikaji amabao jongoo hushindwa kupanda mtungi???
Nimekuja kuamini uanaume ni uwezo wa kusimika mpiniiiiiiii.......!!!!! Otherwise hata uwe bill gate hutokaa ujiamini kabisa.
Wakuu ebu leteni uzoefu wenu jinsi bao la Kwanzaa lilivyowahi kukuondolea confidence!!!!!
Regards