Recent content by sali_1k1

  1. S

    Samsung mini laptop for sale

    Ushaiuza au bado unayo
  2. S

    Natafuta laptop dell au hp

    Okay screen yake inch ngapi?
  3. S

    Natafuta laptop dell au hp

    Nimepata boss zangu. Thanks
  4. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Its hard to choose something which also choose.
  5. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Sasa mfano ndo umemchagua akabadilika akawa mtu wa ivo unafanyajee sasa na ndoa ndo imepita
  6. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Hapo ndo hesabu za probability zina husika na maombi ya kutosha. Kisa cha kuwepo kwa ndoa ni kutokana na kubadilika kwa tabia za watu. Ingekua hakuna kubadilika watu wangependana milele na kusingekua na wazo la kutafuta mngine. Ila ndoa ndo imekuwepo ili hata mkibadilika hakuna kuachana.
  7. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Ila nako kuoa mtu mwnye tabia unayoitaka au kuolewa na mtu mwenye tabia unayoita, si kwa kuchagua wala kwa kusubiri. Japo ni bahati tu. Unaeza ngoja sana na bado ukapotea na unaeza chagua sana bado ukapotea vilele.
  8. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Welcom PM
  9. S

    Natafuta Boyfriend aliye serious

    Mwenyeji wa mosho sehem gani?
  10. S

    Natafuta laptop dell au hp

    Natufuta laptop iwe nzima haijafunguliwa dell au hp. Screen 12" or 13" Ram 1gd na zaidi Hard disk 250 na zaidi
  11. S

    Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

    Over drive ni kama gia ya ziada itakayokupa mizunguko mingi ya driving shaft kwa mizunguko michache ya engine yako. Unapaswa kuitumia ukiwa unatembea na mwendo mkubwa. Faida zake utatumia mafuta kidogo mana gari inakwenda kasi kwa mizunguko michache ya engine. Mfano katka gari ya kawaida yani...
  12. S

    ITV/RADIO ONE mnaelewa maana ya breaking news?

    Swala ni kwamba ye huenda hawafahamu waliopata ajali muekewesheni tu kuwa ni watu wanaojulikana na watu wengi yani maarufu kuliko yeye. Hata pinda akionekana anagombea dalada posta inaweZa kuitwa breakingnews. Ni kitu kipyaa.
  13. S

    Ujue umihimu mkubwa wa kupima upepo wa tairi za gari lako

    Kama anatumia speed ndogo hatapata mazara yeye ila tyr yake itakatika katikati hasa kasa kama ni tubeless. Kama ni ya tube itasugua tube na kupasuka.
  14. S

    Ujue umihimu mkubwa wa kupima upepo wa tairi za gari lako

    Gari ikiwa na upepo 40. Alafuu ukapakiza watu ukipima tena lazuma unazidii. Hivyo pima upepo wako gari ikiwa tupu.
Back
Top Bottom