Mimi niko msibani hapa na mpaka dakika hii chanzo cha uhakika kbs hakijafahamika ila rumour ni mgogoro na mkewe ninaimani baada ya muda tutakipata chanzo cha uhakika ila si suala la mali maana mali wamegawana karibu miaka kumi na mdogo wake marehemu ndio mwenye bus zinazofanya ruti ya tbr dar
Hujanielewa mkuu na wala hupaswi kuwa na jazba,nimerekebisha hapo kuwa huyu bwana hakua kijana mdogo ila ni mtu wa makamo around 47 sijasema mtu mwenye 47 hawezi kufa na pia chanzo kikubwa kinaaminika ni mgogoro wake na mkewe,relax bro hapa tunaelekezana tu wala hatugombani
Mkuu sababu ulizozitaja si za kweli maana huo mgao unaouzungumzia ulifanyika almost 10 years ago,na marehemu si kijana kama unavyosema ni mtu wa makamo around 47,na marehemu jina lake ndio hilo sultan hemed,Mimi ni mtu wa karibu na pia nipo msibani...Tupende kupata habari kutoka vyanzo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.