Mazungumzo yalikua hv:baba sasa iv mwanangu umefanya vizur lakin mbon hl swal la kutoa umelikosa?Madenge hapana bab yote hayo niliangalia kwa jiran yangu juma lakin hl la kutoa alinikatalia eti nitamzid: baba pumbaf mwanahala weye
Jamaa alipiga sim makumbusho mazungumz yalikua hv-JAMAA hapo ndio makumbusho ya taifa?MAKUMBUSHO ndio nini tukusaidie?JAMAA naomb mnikumbushe saa mwaka juz ilipotelea wap?MAKUMBUSHO pumbav !!! Hapa tunahifadh vit vya zaman JAMAA Poa basi kumbe saa yangu mnayo ntapitia !!!.
Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala seblen jamaa akampisha akaenda juu ya dali !!
Ilikua ndan ya bus la mkoan jamaa mmoja alikua amekaa pemben ya msichana mrembo akaanza kumtongoza mara dada akaanza kucharuka yule jamaa akasema nakuuliza umejamba? Akasema jaman namuuliza kajamb anaanza kupayuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.