Recent content by saleh sule

  1. S

    Madenge noma!!!

    Ask urself.u have no idea to what is writen there?nd u have no why so?why til when ma frnd ?lord help those who helps themself u knw am say?
  2. S

    Madenge noma!!!

    Mazungumzo yalikua hv:baba sasa iv mwanangu umefanya vizur lakin mbon hl swal la kutoa umelikosa?Madenge hapana bab yote hayo niliangalia kwa jiran yangu juma lakin hl la kutoa alinikatalia eti nitamzid: baba pumbaf mwanahala weye
  3. S

    Mtoto huyu nae!

    Kwel dogo mkal!!
  4. S

    Makumbusho!!!

    we tired .hauna mpya ww!!
  5. S

    Makumbusho!!!

    Kwel kabisa alikua madenge!
  6. S

    Makumbusho!!!

    Jamaa alipiga sim makumbusho mazungumz yalikua hv-JAMAA hapo ndio makumbusho ya taifa?MAKUMBUSHO ndio nini tukusaidie?JAMAA naomb mnikumbushe saa mwaka juz ilipotelea wap?MAKUMBUSHO pumbav !!! Hapa tunahifadh vit vya zaman JAMAA Poa basi kumbe saa yangu mnayo ntapitia !!!.
  7. S

    Jamaa nouma!!

    kama haichekesh nifanyaje sasa?
  8. S

    Mwenyenyumba!!

    utanielewa 2 usijal
  9. S

    Mwenyenyumba!!

    Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala seblen jamaa akampisha akaenda juu ya dali !!
  10. S

    Jamaa nouma!!

    Ilikua ndan ya bus la mkoan jamaa mmoja alikua amekaa pemben ya msichana mrembo akaanza kumtongoza mara dada akaanza kucharuka yule jamaa akasema nakuuliza umejamba? Akasema jaman namuuliza kajamb anaanza kupayuka
  11. S

    Meseji kali ndani ya INBOX...ICHEKI HII

    Yangu mie. Ni mzigo umefika ?
  12. S

    Usicheke sana plz

    Nimeipenda sana!!
  13. S

    Mwanasoka katoa kali!!!!!!

    mchezaji mmoja wa mpira wa miguu alitoa kal ndan ya uwanja huku mpira ukiendelea mara akasikika anasema kabanwa na haja kubwa duuh
  14. S

    Mtumeeeeeeeee!!!

    Teh teh teh teh we mkal
  15. S

    hodi

    karibu bt that is common mistake wajamen
Back
Top Bottom