Kiukweli pindi tunapozungumzia ADSL tunarudi nyuma katika utandawazi maana hapa tunazungumzia muunganiko wanjia kuanzia MSAN, MDF, CABINET, DP ndipo huduma ifike kwamteja. Hivyo huko kote inapita copper cable ambayo kiuhalisia inabeba 2Mbps - 4Mbps napia Fault zinatokea mara kwamara kutokana na...
Pindi unaposoma PCM, kwanza jikubali kwamba wewe ni Engineer mtarajiwa. Nenda chuo kapige moja kati ya kozi hizi....Mechanical, Electrical, Civil au Compture Engineering. Hakikisha unapokua chuo unapiga misuli kweli kweli ili utoke upo nondo kwenye theory & practically as well as ukienda field...
Habari,
Nimenunua router yatigo (Huawei), Model: E5573Bs-322 na IMEI : 864249044677266 inatumia line moja tuu ya tigo. Pindi nikiweka line ya mtandao mwengine inanihitaji niweke SIM LOCK CODE ili niweze kuunlock device. Tafadhali naomba msaada wa kuiunlock hii router ili iweze kutumia line zote...
Iwapo Corona ikifika Dar-es-salaam tutakufa sana, kutokana nahuu usafiri wetu wa mwendokasi maana tunajazana sana mpaka kupita kiasi.
Eeeh......mungu tunusuru
www.w3schools.com, This is the world's largest web developer site.
CCNA - ingia youtube kuna jamaa anaitwa Imran rafai ( free cisco video training- Networking).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.