Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,317
- 8,228
Wakuu hii mada naomba tuijadili hapa.
Binafsi kama sioni fyucha ya vijana wa PCM Tanzania.
Haijalishi kapiga one kali au ya kawaida.
Mada ni hii hapa mezani.
Je, Wanaohitimu PCM wanafyucha kwenye kozi gani?
Binafsi kama sioni fyucha ya vijana wa PCM Tanzania.
Haijalishi kapiga one kali au ya kawaida.
Mada ni hii hapa mezani.
Je, Wanaohitimu PCM wanafyucha kwenye kozi gani?