CCM ya sasa hovyo sana,huwez kuiringanisha na ile ya enzi za mwalimu,yaan ni hovyo mno tena vi. ..la. ..za tu ndio wanaoishabikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ipi inayopinga maendeleo ya wananchi??? Acha kufanya uchochezi humu. Chama Cha Maboya mnaamini kama hii nchi ni yenu pekee yenu,yaan kama vile hamtakufa,Mwenye mlengo tofaut na hicho chama chenu mnamuona kama mkimbizi vile. Elimu buree,sasa hao unaowaabudu wew wanawasomesha watoto wao...
Mim binafs huwa siwez kubinashana na watu wenye I.Q ndogo kama po.....li.....ci. eti mkanda unabendera ya taifa so then....!!!!! Kwani kama umeapa hutakufa???. Idiot
Ccm kwani nao watu.!!!!?.Ngachoka mimi.kwani waliopewa mike wote waliandaa hayo maziko? Au hujui kuwa kulikuwa na Bunge? C C M mliowengi akili zenu kama za boss wenu,mmekalia visasi visivokuwa na tija kwa taifa letu,eti li CCM linakuja na sare mara kofia ya chama msibani!!!-Laana hio ma...
That's why nimechagua kujikita katika kilimo na ufugaji baada ya kuona kila kukicha naambiwa eti kuna uhakiki Pelekeni vyeti,nikaamua kufanya maamuzi magumu ya kuwaachia kazi yao,nimesoma kwa shida tena shule hizi hizi ambazo tulikuwa tunakula maharage yaliobunguliwa na yenye funza,Ni bora nife...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.