Recent content by salahsahim4

  1. S

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Ulisoma kitabu kimoja au vingi vyote vikielezea utumwa ulio fanyika na waarabu tu? Je ktk soma soma yako yote hukuwahi kukuta mahala pameandikwa utumwa walio shiriki wazungu. Nawala hukuwahi kujiuliza niaje wazungu wasishiriki utumwa? Inaoneka soma soma yako yote ilikuwa inalengo 1 tu lakutaka...
  2. S

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Mkuu kinacho tuponza sisi waafrika ni ujinga wa udini. Waafrika wengi hasa jamii isiyo ya kiislam hawataki kuamini au kuema kama wazungu wajerumani waengereza wareno wamarekani ndio vinara wa biashara ya utumwa na ukatili kwa waafrica.
  3. S

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Yes ni waarabu walio shambulia. Na ninani alie shambulia libya mpaka kufikia kuuwawa gadafi? Ni nchizipi duniani zilizo ongoza biashara ya utumwa?
  4. S

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Hizo ni chuki zako kwa jamii ya kiarabu. Na nahisi tatizi sio uwarabu ni uislam na hayo unayo yasema ya kuhasi babu zetu na kuuza babu zetu huna ushahida. Hizi ndio propaganda za muengereza na mjerumani walizo waaminisha waafrika kama ww. Nakama unaushahidi wa picha ya muwarabu anakokota au...
  5. S

    Paris Restaurant Shootings and Blasts: at least 100 People have been killed

    Umesahau na wajerumani na waengereza na wareno au hawa hujui au hutaki watu wajue kama ni zaidi ya waarabu? Bora waarabu waliuuza tu wazee wetu wakiwa hai kuliko wareno,wajerumani na waengereza walio tesa na kuwauwa waafrika kwa malion. Hapa kwetu tanganyika wareno na wajerumani wameuwa na...
  6. S

    CHADEMA chama cha kidalali na wapiga dili asema Dr. Slaa

    Hata nilipo taka kufikiria ili nijiunge na chama kimoja wapo cha upinzani nilipata jibu la haraka sana kama vyama vya upinzani vya tz havina viongozi makini na wenye nia ya upinzani wa dhati zidi ya chama tawala ccm. Nilijiuliza wako wapi hawa..JIDAWI, MAPALALA, LAMWAI, NGAWAIYA, MREMA, MARANDU...
  7. S

    "Ujivuni wa hela si mali kitu" J.Kikwete katika ubora wake

    Acha kututukana wtz tuliomchagua Kikwete unatokosea adabu yaani wtz zaidi ya milioni 6 tuliomchagua kikwete ww hutuoni unaona kura 2 tu za luwasa na rostom? Kama wao wanauwezo wa kiweka rais wa tz wamtakae wameshindwa nini kujiweka wenyewe?
  8. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Bora unipotezee maana hunajibu. Ndugu sio lazima niwe mfugaji ndio nijue ya wafugaji. Dunia yaleo nindogo kama kijiji kidogo. Zaidi nimekuomba unikumbushe lini wafugaji watz walifanya mikutano ya hadhara?
  9. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Lini nikumbushe ww, jamii ya wafugaji waliwahi kuandaa mkutano wa hadhara? Au mfugaji gani aliewahi kufanya mkutano wa hadhara.? Mm nina umri wa nusu karne ktk ardhi hii ya tz sijawahi kuona mfugaji au wafugaji wakifanya mikutano ya hadhara kama ya kisiasa.
  10. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Jamii gani nilioidharau?
  11. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Huwezi kujua na hutojua nini hoja yangu. Maneno ya mwalimu jkn umeyanakili vyema kwa kuwa yanagusa tabia na akili ndogo ulizo nazo. Na hunabudi kuzingatia vyema huo usemi wa mwalimu. Ndio nyie mulio muita Sumai mr 0 baadae mukarudi mukamuita mr gold ndio nyie mulie ibuwa neno fisadi nadio nyie...
  12. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Mtu anapo jenga hoja nivyema akajibiwa kwa hoja sivyema hoja ikajibiwa kwa kulalama. Unapolalamika na kuhisi unaonewa unapunguza uwezo wa kifikira na kungamua mambo. Nahili ndio tatizo nililo liseama huko nyuma.
  13. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Kila kitu kinatafsiri mbili . Tafsiri mbaya na tafsiri nzuri. Ww umetafsiri vibaya maadiko yangu ingwa mm sikuwa na nia mbaya hiyo ulio iita ya dharau. Maandiko hayo hayo ungetaka kuyatafsiri vizuri ungeweza kitafsiri. Lakini pia huwezi kuwa nafkra nzuri kama hukupata malezi mazuri inawezekana...
  14. S

    Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

    Alisema akishindwa atarudi munduli kuchunga ngombe wake. Lini umeona mchunga ngombe akipewa nafasi ya kuongea na taifa? Lini mchunga ngombe akatufanya tuwe tunaishi na kwa mashaka? Ngombe wenyewe alionao amesema hawafiki 1000 sasa mchunga ngombe wa idadi hiyo kweli awe gumzo ktk nchi?
  15. S

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Nina imani kama mwezimungu atamjaalia afya njema atawanyoosha hawa watu wanao ipaka matope serikali na chama kinacho tawala. Ukizingatia watumishi wa uma hawazidi laki 5 na ktk hao lakini utakuta wanaokwamisha maendeleo hawafiki hata elfu 5. Nadhani akiwazibiti wakuu idara,mawaziri, ma RC na ma...
Back
Top Bottom