Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

Ukimya wa Lowassa unaitesa CCM na UKAWA

Mtu anapo jenga hoja nivyema akajibiwa kwa hoja sivyema hoja ikajibiwa kwa kulalama.
Unapolalamika na kuhisi unaonewa unapunguza uwezo wa kifikira na kungamua mambo.
Nahili ndio tatizo nililo liseama huko nyuma.

Sasa wewe ulijenga hoja gani?
Haya ndiyo mambo alikuwa anasema mwalimu kama kuwa mpumbavu ni kipaji,nikama kuwa mtu mfupi.Kama wewe ni mpumbavu basi ni mpumbavu tu kwasababu ulizaliwa hivyo.

Hauna hoja yoyote uliyojenga na hilo ni jambo moja,tatizo ni wewe kushindwa kuona kama hauna hoja.Hapa kwakweli siwezi kukusaidia, this is intuition,kama huna basi huna tu na hakuna namna nyingine.
 
Wadau tukubali tu kwamba katika Mambo mageni tuliyoona kwenye wakati huu ni nguvu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Nimejaribu kupitia mabandiko mengi hapa JF na ninaona mengi ni malalamiko au matokeo ya wasiwasi wa ukimya wa Lowasa.

Magufuli ameanza kwa kasi ya ajabu bila kujali uelekeo ili kujaribu kuzima makali ya sauti ya ukimya wa Lowassa.Anatamaani sana Lowasa asahaulike mapema ili apate nafasi ya kujenga jina lake na labda umaarufu wake mwenyewe.
Kwa bahati mbaya kila anachofanya kinaongeza kumbukumbu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Wamejitokeza wana CCM humu wanaomshambulia Mbowe,wanamshambulia Mbatia,wanakishambulia CHADEMA na vyama vya ukawa,wanachokoa kwa kijiti wapate majibu.Watu kama Juliana Shonza na Faiza walioumizwa na Ukimya wa Lowasa.

Ni dhahiri sasa taifa limetega sikio,liko makini kiasi kwamba hata sindano ikianguka linasikia,lina kiu na sauti ya mtu mmoja tu, Linateseka kwa ukimya wake,linataka kumsikia Ndugu Edward Ngoyae Lowasa.

Mihemko ya kisiasa inayoongelewa na vyombo vya usalama ni mawimbi tu ya Ukubwa wa sauti ya ukimya, intelijensia inaumizwa na ukimya.Naanza kuipenda falsafa hii ya ukimya.

Ila kama mdau tu wa UKAWA na mwanachama wa kawaida kwenye chama changu nitumie fursa hii kumuomba Ndugu Edward Ngoyae Lowassa aongee kitu, Taifa linaumia.


Nilipoona heading ya ya uzi wako nikawa na shauku ya kusoma ....kumbe bado yaleyale....hivi kwann hamuachi majungu?
 
Sasa wewe ulijenga hoja gani?
Haya ndiyo mambo alikuwa anasema mwalimu kama kuwa mpumbavu ni kipaji,nikama kuwa mtu mfupi.Kama wewe ni mpumbavu basi ni mpumbavu tu kwasababu ulizaliwa hivyo.

Hauna hoja yoyote uliyojenga na hilo ni jambo moja,tatizo ni wewe kushindwa kuona kama hauna hoja.Hapa kwakweli siwezi kukusaidia, this is intuition,kama huna basi huna tu na hakuna namna nyingine.

Huwezi kujua na hutojua nini hoja yangu.
Maneno ya mwalimu jkn umeyanakili vyema kwa kuwa yanagusa tabia na akili ndogo ulizo nazo.
Na hunabudi kuzingatia vyema huo usemi wa mwalimu.
Ndio nyie mulio muita Sumai mr 0 baadae mukarudi mukamuita mr gold ndio nyie mulie ibuwa neno fisadi nadio nyie mulie tuaminisha kuwa luwasa ni fisadi papa.
Mukarudi mukatumbia luwasa ni mtu msafi kupita maelezo na nimtu anaeweza kuwakomboa wtz ktk matatizo yao.
Huo ndio muonekano wenu na ndio hapo mwalimu alipo sema mpumbavu ni mpumbavu.
Na ndio mzee mkapa akakazia huo msemo mukasema mzee mkapa kawatusi.
Badilikeni acheni upumbavu tz inaendelea kusonga mbele ktk uwongozi wa viongozi wa ccm....
HAPA KAZI TU...
 
...na wewe unausemea moyo wa nani?!

. Mwandika mada kakosea kutusemea na sisi....kama lowass nilimktaa tangu ccm mpaka chadema na ghadhabu ikajaa juu yake....nikamchinja na kichinjio changu....iweje akae kimya nihumie?
 
Huwezi kujua na hutojua nini hoja yangu.
Maneno ya mwalimu jkn umeyanakili vyema kwa kiwa yanagusa tabia na akili ndogo ulizo nazo.
Na hunabudi kuzingatia vyema huo usemi wa mwalimu.
Ndio nyie mulio muita Sumai mr 0 baadae mukaridi mukamuita mr gold ndio nyie mulie ibuwa neno fisadi nadio nyie mulie tuaminisha kuwa luwasa ni fisadi papa.
Mukarudi muatambia luwasa ni mtu msafi kupita maelezo na nimtu anaeweza kuwakomboa wtz ktk matatizo yao.
Huo ndio muonekano wenu na ndio hapo mwalimu alipo sema mpumbavu ni mpumbavu.
Na ndio mzee mkapa akakazia huo msemo mukasema mzee mkapa kawatusi.
Badilikeni acheni upumbavu tz inaendelea kisonga mbele ktk uwongozi wa viongozi wa ccm....
HAPA KAZI TU...

Oh! Mungu wangu!
Anyway,nashukuru kwa hii sms yako,imenionyesha nadeal ni mtu wa namna gani, pole sana ndugu yangu!

Ila sielewi,unakuwaje na mwandiko mmbaya mpaka kwenye sms?
Ungekuwa unatumia kalamu ningeelewa kwamba ni tatizo la kukosa elimu la kawaida kwa Tanzania.Sasa simu si ina button unazobonyeza tu!

Waiii! haya bana,we endelea na shughuli nyingine tu,au fanya siasa kwa mdomo,usiandike tena aisee,ni aibu!
 
acha kujifanya mwanasaikolojia wakati unaandika mambo ambayo mwenyewe huyaelewi, usifikiri uwezo wa kuelewa na kupambanua mambo unaujua wewe mwenyewe tu, sote tuna akili na uwezo wa kuchambua mambo. Narudia kukuambia kuwa na kauli stahiki acha kudharau jamii nyingine.
Kila kitu kinatafsiri mbili .
Tafsiri mbaya na tafsiri nzuri.
Ww umetafsiri vibaya maadiko yangu ingwa mm sikuwa na nia mbaya hiyo ulio iita ya dharau.
Maandiko hayo hayo ungetaka kuyatafsiri vizuri ungeweza kitafsiri.
Lakini pia huwezi kuwa nafkra nzuri kama hukupata malezi mazuri inawezekana umelelewa na mama wa kabu.
Kwahiyo umekulia ktk mazingira ya migogoro na misuguwano nandio athari inayo kuandama..
 
Taifa lipi au la nyumbani kwako. Si juzi tu kaongea. Hebu mkafanye kazi nyie badala ya kuendekeza upuuzi. Kwani akiongea ndio utapata mlo. Kweli lofa ktk ubora
 
acha kujifanya mwanasaikolojia wakati unaandika mambo ambayo mwenyewe huyaelewi, usifikiri uwezo wa kuelewa na kupambanua mambo unaujua wewe mwenyewe tu, sote tuna akili na uwezo wa kuchambua mambo. Narudia kukuambia kuwa na kauli stahiki acha kudharau jamii nyingine.

Jamii gani nilioidharau?
 
Ukimya Lowassa, Lowassa Ukimya.

Nakipenda kibwagizo hiki.
 
Huyu mzee wau wamemdanganya wamempiga hela hadi kachanganyikiwa! naskia hata chadema wamemtelekeza kama dampo, wote wamewahi kujiandikisha Dodoma tangu tarehe 01 November walivyo na usongo na Pesa
 
Wadau tukubali tu kwamba katika Mambo mageni tuliyoona kwenye wakati huu ni nguvu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Nimejaribu kupitia mabandiko mengi hapa JF na ninaona mengi ni malalamiko au matokeo ya wasiwasi wa ukimya wa Lowasa.

Magufuli ameanza kwa kasi ya ajabu bila kujali uelekeo ili kujaribu kuzima makali ya sauti ya ukimya wa Lowassa.Anatamaani sana Lowasa asahaulike mapema ili apate nafasi ya kujenga jina lake na labda umaarufu wake mwenyewe.
Kwa bahati mbaya kila anachofanya kinaongeza kumbukumbu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Wamejitokeza wana CCM humu wanaomshambulia Mbowe,wanamshambulia Mbatia,wanakishambulia CHADEMA na vyama vya ukawa,wanachokoa kwa kijiti wapate majibu.Watu kama Juliana Shonza na Faiza walioumizwa na Ukimya wa Lowasa.

Ni dhahiri sasa taifa limetega sikio,liko makini kiasi kwamba hata sindano ikianguka linasikia,lina kiu na sauti ya mtu mmoja tu, Linateseka kwa ukimya wake,linataka kumsikia Ndugu Edward Ngoyae Lowasa.

Mihemko ya kisiasa inayoongelewa na vyombo vya usalama ni mawimbi tu ya Ukubwa wa sauti ya ukimya, intelijensia inaumizwa na ukimya.Naanza kuipenda falsafa hii ya ukimya.

Ila kama mdau tu wa UKAWA na mwanachama wa kawaida kwenye chama changu nitumie fursa hii kumuomba Ndugu Edward Ngoyae Lowassa aongee kitu, Taifa linaumia.

Lowasa is now a none issue. He is a spent force destined for the dustbin. SISI NI KAZI TU!
 
Wadau tukubali tu kwamba katika Mambo mageni tuliyoona kwenye wakati huu ni nguvu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Nimejaribu kupitia mabandiko mengi hapa JF na ninaona mengi ni malalamiko au matokeo ya wasiwasi wa ukimya wa Lowasa.

Magufuli ameanza kwa kasi ya ajabu bila kujali uelekeo ili kujaribu kuzima makali ya sauti ya ukimya wa Lowassa.Anatamaani sana Lowasa asahaulike mapema ili apate nafasi ya kujenga jina lake na labda umaarufu wake mwenyewe.
Kwa bahati mbaya kila anachofanya kinaongeza kumbukumbu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Wamejitokeza wana CCM humu wanaomshambulia Mbowe,wanamshambulia Mbatia,wanakishambulia CHADEMA na vyama vya ukawa,wanachokoa kwa kijiti wapate majibu.Watu kama Juliana Shonza na Faiza walioumizwa na Ukimya wa Lowasa.

Ni dhahiri sasa taifa limetega sikio,liko makini kiasi kwamba hata sindano ikianguka linasikia,lina kiu na sauti ya mtu mmoja tu, Linateseka kwa ukimya wake,linataka kumsikia Ndugu Edward Ngoyae Lowasa.

Mihemko ya kisiasa inayoongelewa na vyombo vya usalama ni mawimbi tu ya Ukubwa wa sauti ya ukimya, intelijensia inaumizwa na ukimya.Naanza kuipenda falsafa hii ya ukimya.

Ila kama mdau tu wa UKAWA na mwanachama wa kawaida kwenye chama changu nitumie fursa hii kumuomba Ndugu Edward Ngoyae Lowassa aongee kitu, Taifa linaumia.
akae kimya kusubiri ile mahakama...
 
Wadau tukubali tu kwamba katika Mambo mageni tuliyoona kwenye wakati huu ni nguvu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Nimejaribu kupitia mabandiko mengi hapa JF na ninaona mengi ni malalamiko au matokeo ya wasiwasi wa ukimya wa Lowasa.

Magufuli ameanza kwa kasi ya ajabu bila kujali uelekeo ili kujaribu kuzima makali ya sauti ya ukimya wa Lowassa.Anatamaani sana Lowasa asahaulike mapema ili apate nafasi ya kujenga jina lake na labda umaarufu wake mwenyewe.
Kwa bahati mbaya kila anachofanya kinaongeza kumbukumbu na ukubwa wa sauti ya Ukimya wa Lowasa.

Wamejitokeza wana CCM humu wanaomshambulia Mbowe,wanamshambulia Mbatia,wanakishambulia CHADEMA na vyama vya ukawa,wanachokoa kwa kijiti wapate majibu.Watu kama Juliana Shonza na Faiza walioumizwa na Ukimya wa Lowasa.

Ni dhahiri sasa taifa limetega sikio,liko makini kiasi kwamba hata sindano ikianguka linasikia,lina kiu na sauti ya mtu mmoja tu, Linateseka kwa ukimya wake,linataka kumsikia Ndugu Edward Ngoyae Lowasa.

Mihemko ya kisiasa inayoongelewa na vyombo vya usalama ni mawimbi tu ya Ukubwa wa sauti ya ukimya, intelijensia inaumizwa na ukimya.Naanza kuipenda falsafa hii ya ukimya.

Ila kama mdau tu wa UKAWA na mwanachama wa kawaida kwenye chama changu nitumie fursa hii kumuomba Ndugu Edward Ngoyae Lowassa aongee kitu, Taifa linaumia.

Fikiri Kabla hujaropoka. Kwani ukimya wa Lowassa hautunyimi usingizi. Dr. Slaa alinyamaza na mwishowe alizungumza na maisha yanaendelea. Who is Lowassa anyway!!!!!!! Ni mtu tu Kama wengine akinyamaza maisha yanasonga akiongea maisha yanasonga. Hata hivyo apumzike asijemaliza uzee wake vibaya na stress. Wanaotaka hela sake na waliokula hela zake ndo hawana usingizi wanaumia. Mie nimefurahiiiiii saaaaaaaana tu kumpata magufuli. Yaani kwa sasa nalala mpaka wife ananiamusha
 
Back
Top Bottom