Sifa kubwa ya Mungu haonekani kama umbo . Yy yupo kila sehemu, kwenye majeraha yupo, kwenye kifo yupo, kwenye maji, yupo ndani ya mwanadamu, na cell zake zote za mwili. Na yy ndiye Chanzo cha kila kitu Kama unataka kumuona kama umbo ambalo madaktari wanao au wanyama wanao Kufa kwanza ndio mlango...
Wazo zuri sana na kila shule ya msingi iwe na kiwanja cha michezo ambacho kinatumiwa na wanafunzi tu. Kama wanamichezo kutoka nje watakihitaji wanapaswa walipie ili kuweza kukitengeneza kuwa na ubora na kuvutia timu mbalimbali kuja kufanya mazoezi na kuinua kipato cha shule.
Idea nzuri sana, ngoja niende kijijini nikaifanyie kazi faster maana nimeshaona fursa , ya kuvuna matawi na kuuza kuni bila madhara ya kuharibu mti wote.
Watu badala ya kutafuta kumuona Yesu kwa maombi yako mwenyewe, unataka kumuona binadamu mwenzio. ambaye kwenye tv unamuona.
Kila siku nazidi kuona ufunuo wa Yesu watakuja macristo wa uongo.
Watu wangu wanaangamia kwa kutokuwa na maarifa
Ww ni Miongoni wa watu ambao wanao mtumikia Mungu, fikiri kama ukiamka asubuhi kwa mamlaka Mungu aliyokupa ya kuleta mkate katika familia yako, baada ya mahangaiko Mengi, yakiwemo kutukamwa na Boss au mtu yyte, lakini, ukifika nyumbani umembebea mwanao au mkeo zawadi, na akakushukuru na ukasema...
Hapaswi kwenda kumtumikia Mungu, kama anawaza kuwa vizuri kiuchumi, anapaswa atumie mali yake na chochote alicho nacho kumtumikia Mungu. Kuwa vizuri kiuchumi Mungu atampa maono mengi ya namna ya kufanya zaidi.
Grarama za maji ukiwa umbali wa mita mia ni zaidi ya 1 m lakini ukichimba kisima kwa njia ya kawaida na unapata maji ya uhakika hyo milioni haiwezi isha. Uchimbaji wa maji yaliyo chini ya ardhi ni rahisi haswa kwa matumizi ya nyumbani. na zaidi ya hayo pia ukiwa na maji yako hutalipia bili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.