Recent content by sajosojo

  1. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Responded Wateja wanaporipoti matatizo ya kimfumo BRELA wahudumu wanawaunga na idara ya IT lakini simu hizo hazipokelewi

    Habari Brela je naweza kuruhusiawa kutumia jina ambalo linafanana kwa asilimia 20 na jina lingine baada ya kutafuta kwenye clearance?
  2. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Ramani ya Apartment mbili zenye, Sebule, small Kitchen na master bed room

    Ramani ya apartment mbili zenye, Sebule, small kitchen na master bed room kila moja katika eneo la mita 6 kwa 8 tu....call 0686970690 kwa information zaidi
  3. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Yesu wa waisrael yuko wapi ktk vita yao dhidi ya WAIRAN?

    Anachapwa Israel ila wanakufa wairani 600 na waisrael 70?
  4. sajosojo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

    Mbowe=Wenje=Abdul=Lissu=Msigwa=CCM
  5. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Waziri Jenista Mhagama: Kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya kwa kundi la watoto

    Pumbavu zao ni Bora wakae kimya tu....tulilalamika sana walivyofuta lakini hatukusikilizwa
  6. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Makonda imerejea kauli ya "Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake"

    kauli ya Makonda ina impact gani kwa jamii mpaka uilete hapa tuijadili?
  7. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Washiriki wa mapenzi ya jinsia moja huko Marekani wameweka historia kuwa waumini wa mwanzo wa R.C kupewa baraka

    Maada kama hizi ilifaa moderator wawe wanaziondoa jf
  8. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyumba ya contemporary inavuja

    wanaojenga contemporary solution ya kudumu ya kuvuja kupitia pembeni ya ukuta ni kubandika bati isiyo na mkunjo kuazia kwenye beam ya juu mpaka kwenye slop ya bati... hapo utasahau mambo ya kuvuja
  9. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii

    Kuwa na Tume huru ya uchaguzi kwa CCM ni kukata mti walioukalia hivyo kupelekwa mswaada bungeni lenye CCM tu huko ni kujidanganya ...
  10. sajosojo

    JamiiForums Tanzania Kesi yenye utata: Binti adai kuzaa na baba yake watoto 3 lakini akana mahakamani

    utata mwingine...miaka minne-watoto watatu?
Back
Top Bottom