Ukiongea tu kilimo ,bhasi umelima umepanda, umevuna, na kupata hela , hakuna kinachohitajika zaidi ya hilo neno kalime? Ukisema hivyo tu kila kitu fresh
Kwanza najua kabisa ukishazaliwa mwanaume jua hakuna wa kukuonea huruma, kwahiyo pambana hadi mwisho!
Ila Kuna pale mishe zote zinakwama kila unapogusa Ngoma ngumu.
DUH hapa nawaza Leo siku itaishaje bila hata mia ya kula? Je, kesho? Kesho kutwa kichwa kinawaka moto stress Ni nyingi.
Wakuu...
Mimi naomba kuuliza wakuu kwa vibarua au wafanyakazi wa viwandani ambao hawana mikataba ila huwa wanakatwa NSSF wanawezaje kupata hela zao?
Maana mwajiri hawezi kukuandikia barua ya kukuachisha kazi sababu huna mkata wowote na yeye.
Maana malipo yao ni per day.
Mwenye kujua naomba anielekeze.
Mimi naomba kuuliza wakuu kwa vibarua wa viwandani ambao hawana mikataba ila huwa wanakatwa NSSF wanawezaje kupata hela zao?
Maana mwajiri hawezi kukuandikia barua ya kukuachisha kazi sababu huna mkata wowote na yeye.
Mwenye kujua naomba anielekeze.
Habari wakuu,
Nimesikia Mafinga kuna viwanda mbalimbali, sasa mimi nataka nikajaribu kutafuta vibarua huko. Naomba kwa anae fahamu zaidi au mwenye connection anaeweza kunisaidia kupata kazi huko kwa urahisi anisaidie.
Masuala ya sehemu ya kulala na kula nitajua mwenyewe wakuu, ili mradi niwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.