Saint Murano
Member
- Mar 31, 2019
- 97
- 264
Mimi naomba kuuliza wakuu kwa vibarua au wafanyakazi wa viwandani ambao hawana mikataba ila huwa wanakatwa NSSF wanawezaje kupata hela zao?
Maana mwajiri hawezi kukuandikia barua ya kukuachisha kazi sababu huna mkata wowote na yeye.
Maana malipo yao ni per day.
Mwenye kujua naomba anielekeze.
Maana mwajiri hawezi kukuandikia barua ya kukuachisha kazi sababu huna mkata wowote na yeye.
Maana malipo yao ni per day.
Mwenye kujua naomba anielekeze.