Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 304
- 369
- Thread starter
- #21
Hakika unatafuta ban.kama ww dume njoo inboxMwanaume gani anaomba ushauri vitu vyepesi kwa wanaume wenzio harafu ma moderate wanakuangalia tu !
Hakika unatafuta ban.kama ww dume njoo inboxMwanaume gani anaomba ushauri vitu vyepesi kwa wanaume wenzio harafu ma moderate wanakuangalia tu !
Inaita vizur tu. Hata zile line za kwenye Car Track zinaita Kama kawaidaSante mkuu.Nina swali HV line ikiwa kwa modem ukiipigia inaita??
Kufanyeje labdaHakika unatafuta ban.kama ww dume njoo inbox
Haya huenda ni malipo ya Jinsi ulivyo m-block jamaa aliehitaji msaada wa kazi hapa jf na ukamsababishia hasara ya 45000.Kuna MTU nilikuwa nawasiliana naye kipindi cha nyuma miaka mitatu iliyopita,ila ss hapokei simu wala kujibu meseji!!!hata namba ngeni hapokei!!!nimeangalia usajili wake bado ni wake.namba yake inaita masaa 24,simdai wala hanidai je wajuzi wa mtandao mnaniambiaje?NB namtafuta huyu MTU kwa sababu alikuwa msaada kwenye mashamba Yangu.
Nimecheka kinoma mkuu...Fernando sucre ndo huyu aliyetuhumiwa kwenye ule uzi....Haya huenda ni malipo ya Jinsi ulivyo m-block jamaa aliehitaji msaada wa kazi hapa jf na ukamsababishia hasara ya 45000.
Hatimaye kapatikanaHaya huenda ni malipo ya Jinsi ulivyo m-block jamaa aliehitaji msaada wa kazi hapa jf na ukamsababishia hasara ya 45000.
Hataki tena kumtumikia mtuKuna MTU nilikuwa nawasiliana naye kipindi cha nyuma miaka mitatu iliyopita
Ungetuma sms kwanza maana branch pia wanasumbuwaKuna MTU nilikuwa nawasiliana naye kipindi cha nyuma miaka mitatu iliyopita, ila sasa hapokei simu wala kujibu meseji!!! Hata namba ngeni hapokei!!! Nimeangalia usajili wake bado ni wake. Namba yake inaita masaa 24, simdai wala hanidai je wajuzi wa mtandao mnaniambiaje? NB namtafuta huyu MTU kwa sababu alikuwa msaada kwenye mashamba Yangu.
Twa safwa ilyoyoKwani ni lazima kuwasiliana na mtu asiyetaka.????
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
[emoji23] Dunia kweli duara.Haya huenda ni malipo ya Jinsi ulivyo m-block jamaa aliehitaji msaada wa kazi hapa jf na ukamsababishia hasara ya 45000.
Ndio yeye mkuki kwa nguruweNimecheka kinoma mkuu...Fernando sucre ndo huyu aliyetuhumiwa kwenye ule uzi....