si kweli kuwa slaa amejiuzulu, bado kuna mzozo katika chama hicho, mbowe jana amezungumzia na, ni kweli hakubaliani na lowasa kuhamia chadema, na kama chama wameamua kupiga kura ya kuamua kwamba slaa apumzike au asipumzike, wakati huu uchaguzi mkuu unapoelekea. habari za kurudisha gari sijui...