Kaka mchungeze vizur mkeo pengine kuna tatizo upande wako na ciunajua wanawake wa siku hizi ukisha muweka ndani anajiona kama vile kakumiliki kila kitu
Kwa miaka hiyo yote nimekuwa mvivu sana hasa swala la romance so nikawa nafanya kama mambo ya wazungu kuiga sipendi lakini najua tatizo ni nini sema tu itakuwa aibu kwake na mimi pia anaeza sema nimemchoka kwa kumwambia kuwa yuko hivyo
Habari mkuu poleni na majukumu
Nipo katika mahusiano karibu miaka 2 na mrembo flan hivi kwa kipindi chote hicho nimekuwa nikiteseka na harufu ya mdomo pindi tu mnapokuwa katika mambo yetu.. Na nimejaribu kuonesha ishara zote pengine aelewe tatizo lake imeshindwa.
Nikiangalia binti ni mzuri...
Me mwenyewe yamenikuta hayo
Nlikuwa naishi na mke wangu vizuri tu
Basi kuna jamaa akampelekea umbea kuwa ninamchepuko duuh huo moto wake ni matata alinitukana mpaka nikahisi pengine hana wazazi nini haitoshi hiyo kampigia simu mama yangu mzazi kamtukana hatari matusi mengine hayaelezeki so...
Wakuu hebu niwekeni sawa kuhusu HDMI
Mwanzo nilikuwa natumia cable za kawaida(RCA CABLE) lakini bado picha hazipo kwenye clear ile ya HD Yenyewe msaada kwa mtaalam wa mambo haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.