Recent content by saidi kindole

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mchange: Sisi tunajua Lissu alifanya makosa, ndio maana familia ya Lissu iko tayari kufanya maridhiano

    Hat hata anachozungumza hakieleweki. Sasa siwamtoe lissu halafu turned kama Heche ataweza kuzuia
  2. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaweka Mapingamizi 6 Kesi ya Ubunge wa Halima Mdee na wenzake. Mahakama Kuu kuamua 22/06/2022

    Chadema ndio iloshitakiwa unasemaje etini ulaji
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yatupilia mbali pingamizi la Freeman Mbowe na wenzake, kesi kuendelea ikipangiwa Jaji mwingine

    1.Serikali ndivyo ilivyoshtaki. 2.Jaji kakubali mashtaka ya serikali yana kasoro 3.Jaji anaelekeza namna nzuri ya serikali kumshtaki Mbowe 4.Kwa hiyo a) Jaji alipaswa amwachie Mbowe. b) Mbowe hashtakiwi na Jaji Anashtakiwa na serikali Askofu Bagonza
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

    Adadi Rajabu au wamrejeshe Saidi Mwema
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

    Akili ndogo. kwani raisi ndio jaji
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mbowe alivyomuibua Lijualikali hadi sasa ni Mkuu wa Wilaya

    akili ndogo
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wanamwona Mbowe wa kipekee (exceptional)?

    kada mtiifu wa ccm huwa anafilisiwa au kufungwa na watawala?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa S/Mitaa na Uchaguzi Mkuu ni sababu tosha za kutomsamehe Shujaa bali tumuachie Mungu ataamua.

    alikuwa haibi kura yeye alinyakua mchakato mzima wa uchaguzi
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

    Wewe huelewa wako ni mdogo. TRA barua hawakuipeleka kwenye kampuni Bali waliituma kwa email ya mbowe ambaye alikuwa jela. Sasa hao wahasibu watajuaje Kama kampuni inadaiwa?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Corona kwenye nguo kinaishi siku mbili

    kamwene kinyungu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Corona kwenye nguo kinaishi siku mbili

    Wewe ndio mpumbavu wanasayansi wanatafiti ndio wanatafiti na kutoa jibu sio ngonjera zako na propaganda zaccm. Sisi tuna Nini hadimabeberu watubambikizie virusi. Neti, dawa za ukimwi wanatuletea kwa Nini wasiweke hivyo virusi humo. Pia tbs wanafanyakazi gani Kama sio kuzalilisha vyombo...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Corona kwenye nguo kinaishi siku mbili

    Huyu ni mwanasayansi gani asiyetambua ukweli? Kirusi cha Corona kwenye nguo uhai wake siku mbili na kwenye vyuma kinaishi hadi siku nne. Kontena tuka huko kwa mabeberu usafirishaji unachukua wiki tatu hadi mwezi kufika Tanzania. Sasa virusi gani tunavyoletewa toka kwa mabeberu? Propaganda...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

    wewe kweli mhhh. Removal order hutolewa mshitakiwa akiwa ameletwa mahakamani na Hakimu ndio anatoa hiyo order baada ya DPP Kuomba kuwa hawana haja ya kuendelea na kesi. Sasa imetolewa mapema kivipi. Yaani DPP kamfuata hakimu nyumbani kwake?
  14. S

    JamiiForums Tanzania Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

    DPP anatishia kupeleka watu gerezani. lakini DPP hasemi kwanini amevunja CPA, kifungu cha 91, Sura ya 20. Shauri lipo mahakamani, hakimu/Jaji ndio wanaweza kumtoa mtuhumiwa gerezani kwa remove order sio DPP (mlalamikaji). Nolle Prosequi inakutaka ueleze mahakama. Hukufanya hivyo. Sheria haikupi...
  15. S

    JamiiForums Tanzania DPP aeleza sababu Nusrat Hanje kuachiwa huru

    Tunajua halazimiki. Lakini hoja za kumtoa mtu DPP huzitoa mahakamani kisha ndio anaachiwa. Lakini kumtoa tuu mahabusu usiku usiku bila kuwasilisha hoja mahakamani ni kinyume na sheria
Back
Top Bottom