Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,267
- 1,649
Hii nchi imesha kuwa ya kisenge, amri ya ccm ndio sheria kwa taasisi zote za serikali, wajinga zaidi ni NEC na watalaam wetu lindeni sheria sio kupokea lolote kutoka juu kwa maslahi yao binafsi mnatuharibia nchi.