johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,614
- 141,437
Katika Kesi ya Halina Mdee na wenzake dhidi ya Chadema walalamikiwa ambao ni Chadema wamesema Mapingamizi Sita juu ya uhalali wa Kesi hiyo kusikilizwa
Jaji wa Mahakama kuu aliahirisha Kesi hiyo hadi tarehe 22/06/2022 atakapotolea maamuzi Mapingamizi hayo.
Source ITV habari
Jaji wa Mahakama kuu aliahirisha Kesi hiyo hadi tarehe 22/06/2022 atakapotolea maamuzi Mapingamizi hayo.
Source ITV habari