Unatamani uwe kiazi je utaweza hali ya hewa ya huko???....mwenye njia mwenyewe akiingia kidogo lazima atapike,apumzike af ndo aende tena,we hizo cku 14 itaweza?
Wana JF labda tueleweshane kidogo,labda ufaham wngu ni mdogo.
Kwa ninavyojua mimi neno kuvumbua ni kudhihirisha jambo ambalo haliwepo hapo kabla,
"Kwa mf.watu flani wamevumbua mabaki ya kale ambayo kwa miaka mingi hayakutambulika uwepo wake".
Sasa huyo bwana hapo ni kweli kavumbua?maana...
Eti serikali imeunda tume ya watu 15 kuchunguza wahusika,hivi kuna haja ya tume hapo?ikiwa dereva aliemwaga wanae,si wamuhoji alitumwa na nani na aliyemtuma aliagizwa na nani, wachukuliwe hatua wahusika, chuo kiendelee mchezo uishe.
Mi hiyo tume naona ni mpango wa kula pesa ya mlalahoi,kila...
Binafsi nilikuwa sijui jambo hili kama lipo toka nizaliwe,naanza kujenga fikra kwamba inawezekana watu wanaopotea ovyo huwa wanatumiwa na hicho chuo na kufanywa siri...,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.