Jamani msaada hivi ukihama kozi ndani ya chuo hicho hicho kutoka kozi moja kwenda nyingine na mkopo ukawa unapata kule kwenye kozi ya kwanza ambayo umehama ivi kuhamisha ili uje kozi mpya kinausika chuo kupeleka taarifa bodi ya mikopo au mwanafunzi mwenyewe
jamani hii serikali inatutafuta charohoni yaani kelele zote zile bado hawajasikia wametoa 2nd bach ya boom kwa asilimia wamebandka hii leo udsm mmmmm sasa tumechoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.