ARTISTS wengi ni watoto wa masikini

luganolugy

Member
Oct 13, 2016
37
5
Mi naona watoto wa masikini wengi ni artist kwa sababu wanasoma SHULE za kata ambazo hata miundo mbinu mfano maabala ni mibovu hivo wakitoa priority kwa science badoo watoto wa masikini wanakandamizwa na wakikosa MKOPO watarudi kijijini NDOTOOOO zaoo zinafeli ni mtazamo wangu vipi wewe
 
yaah sure watoto wa maskin wengi waliosoma komb sa sayans advanc wameshindwa kupata viwango vya vyuo ikiwa sababu kubwa ni mazingira magumu waliyopitia
 
Watoto wa masikini ndio huwa wanasoma masomo ya sayansi .Hawa huwa wana juhudi sana ili waweze kujikwamua maana wanajua elimu ndio silaha pekee waliyo nayo
 

Sawa

Mimi nimesoma shule ya kata.Nikatoka nikaenda Tabora Boys... Classmates wengine wakaenda Kibaha,Musoma Tech,Nganza,Milambo,moshi tech. na wengine wakaenda day Mkolani

Now wengine wapo mining engineering Udom,Civil engineering coet,pharmacy Muhas,archtecture ardhi,md KCMC,

Wote hao wametoka kwenye familia za kawaida sema walikua na commitment za hatari na walikua wanajituma sana

Wenzetu waliokua wanasoma Thaqaafa na Taqwa wapo mtaani wengine majeshi
 
Sawa

Mimi nimesoma shule ya kata.Nikatoka nikaenda Tabora Boys... Classmates wengine wakaenda Kibaha,Musoma Tech,Nganza,Milambo,moshi tech. na wengine wakaenda day Mkolani

Now wengine wapo mining engineering Udom,Civil engineering coet,pharmacy Muhas,archtecture ardhi,md KCMC,

Wote hao wametoka kwenye familia za kawaida sema walikua na commitment za hatari na walikua wanajituma sana

Wenzetu waliokua wanasoma Thaqaafa na Taqwa wapo mtaani wengine majeshi
Wewe ulisoma shule ya kata au ya tarafa ???? Maana shule za kata wahitimu tulianza sisi 2008 shule zilikua no laboratory utasomaje PCM,PCB
 
Kuna alternative to practical
Siyo kweli usemayo.Jaribu kuwa serious ili ufumbuzi upatikane.Vijana wakirudi mitaani ni hatari.Nchi hii ni yetu sote na mtoto ni wako akiwa tumboni akishazaliwa bi wetu sote kama taifa
 
Wewe ulisoma shule ya kata au ya tarafa ???? Maana shule za kata wahitimu tulianza sisi 2008 shule zilikua no laboratory utasomaje PCM,PCB

Mbona unakomaa kujustfy kusoma kwako arts.Kama ulisoma kwa mapenzi yako ni sawa ila usisingizie kuwa hakukua na lab mbona kulikua na alternative to practical kwenye shule za kata na wanafunzi wengi tu walifaulu

Kama mwanafunzi ni smart,hoja ya kutokuwepo kwa maabara ni hoja mufilisi kabisa
 
Watoto wa masikini ndio huwa wanasoma masomo ya sayansi .Hawa huwa wana juhudi sana ili waweze kujikwamua maana wanajua elimu ndio silaha pekee waliyo nayo
C Kweli masikini husoma shule za kata maana wazazi kushndwa kugawa mahtaji ucka pia shule nyng za kata hakna walimu wa sayans
 
Maskini hawezi kusoma sayansi kwa ubora zaidi.Time,resource and environment are limited for a poor student.
 
Back
Top Bottom