Recent content by Said Mago

  1. S

    Tanzania kupeleka battalion moja Congo

    wanajeshi wetu kwenda congo kupigana ni sehemu ya uzoefu kwao na inaowaongezea weledi wao katika vita kuliko kukaa bure tu
  2. S

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Bahati nzuri nimebahatika kukisoma hiki kitabu cha ndugu yangu Mohammed Said the life and times of Abdulwahid, Uamuzi wa Busara na vitabu kadhaa vya brother Said i suggest watu wasome sio tu kumuattack. wengi wanajua tu kumuatack na inaonesha dhahiri hawajasoma kitabu chake.. brother Said...
  3. S

    Maandalizi siyaoni najionea porojo nyingi

    Miaka michache iliyopita tuliweza kukwepa kuharakishwa kwa shirikisho la Afrika mashariki kwa kisingizio kuwa hatujajiandaa katika mambo mengi tu likiwepo la mfumo wa umilikiji ardhi, elimu, ajira na hata biashara na masoko. siku zinakwenda watu tunapiga tu porojo hamna kinachokwenda kila...
  4. S

    Tume ya Pinda: Yatoa taarifa yake ya wanafunzi kufeli mtihani wa kidato cha nne

    Mimi sishangai sana maprofesa kuwa mstari wa mbele kubunya pesa zetu badala ya kuwa msaada kwetu kwa taaluma walionayo. elimu hutawaliwa na kuongoza kwa kiasi kikubwa na Falsafa. uwoga na kuwaabudu wanasiasa ndio falsafa iliyowalea na kuwakuza hatimae kuwapa uprofesa na taaluma wataalamu wetu...
  5. S

    Nahitaji mwalimu tubadilishane vituo vya kazi

    Badilishaneni na waganda wakenya na waburundi, kazi hzo za vijijin wao wanazitaka. Acheni maringo subirini shirikisho
  6. S

    Naungana na jamii ya kimataifa kutompa ushirikiano mheshimiwa Uhuru Kenyatta

    Kuna nchi nyingi sana zimesonga mbele bila bila msaada wa wamagharibi amka sasa tunaweza kusonga mbele wenyewe tukithubutu na mimi nina imani na wakenya,wamejaa uthubutu na kujiamini
  7. S

    This goes to all men

    inategemea na mtu
Back
Top Bottom