This goes to all men

This goes to all men

Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????


mwanamke akiwa na mimba inakuwaga tamu sana ,,,,,,, sasa unamtafuta kimada wa kazi gani tena?
 
Nani kasema hutakiwi ku-sex na mkeo wakati wa ujauzito? kwanza ndio unatakiwa ufanye ili upanue njia na ni kipindi ambacho mkeo anakuhitaji sana, kwa upande wangu huwa tuna-do hata the latest minutes, yaani kama kesho ndio anaenda hospital basi leo ni lazima.....


ku-do haipanui njia mkuu ,sema inakuwa ni sehemu ya mazoezi ya nyonga wakati wa kujifungua...........
 
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????

Wewe ni mjamzito?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????
Huyo mwanaume wako atakuwa ni kicheche by birth. Kwani mimba inazuia nini kumgegeda mkeo? Labda kama hiyo mimba imekufanya uwe mchafu na kisirani kupindukia-hapo hata mimi nachepuka.
 
........mimba kuanzia miezi 7! Inakuwa kama unafanya rituals wala sio recreaional activity kabisaaa!

mhh bishosti! The last time I 'checked' bado ulikuwa 'kigoli', sasa tena haya ya wakubwa umeyajuaje?

Te he te he! Ohh laalah, kitu ya mjamzito ina majotro ya ukweli bana! Lol I miss it......
 
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????

Hiyo ilikuwa ni zamani kutokana na mila na desturi zilikuwa zinapinga sana mtu kufanya sex na mkeo wakati akiwa na ujauzito hivyo ilikuwa inamlazimu mume kutafuta pumziko(mke wa pili) ili kuendelea kufurahia maisha.

Kwasasa sidhani kama hizo mila zipo tena, mume unaruhusiwa kufanya mapenzi na mkeo(akiwa na ujauzito) hata mpaka siku ambako mke anaenda kujifungua, hata madaktari humuimiza mama kufanya hivyo kwasababu inasaidia kutanua njia hivyo kumrahisishia mama kijifungua kwa urahisi.

Kwa wanaume wanaowakimbia wake zao kutoka na ujauzito na kuchukua uamuzi wa kwenda kutafuta nyumba ndogo(vimada) naamini kabisa hao hawajajitambua au bado wamebaki na ujinga kama sio ushamba.
 
mmmh! lara 1, haiwez kuwarituals bana, ni kawaida na kama mama haumwi inaruhusiwa. so far huwa ni zoezi zuri sana kwaajili ya kutanua njia na easy delivery. ukimudu sarakasi miezi ya mwisho inamaana hata kwenye kuzaa pumzi itakuwepo na utafyatua bila hata tearing

Mweleze huyo mdogo wako akuelewe, najua hana experience juu ya hiyo kitu thus why she has negative attitude on that.
 
Tatizo hapa ni hapa watu wanatumia ile methali ama msemo (mtanisahihisha hapo) ya kwamba Samaki mmoja akioza wote wameoza.

Unakuta mtu mume wake amemcheat katika kipindi kama hicho hivyo anahisi wanaume wote wako hivyo, sio kweli hata kidogo. Pia mwanamama kama afya ya mwili na roho inaruhusu mpe mumeo huduma hata siku moja kabla hakuna madhara yoyote kiafya na pia huwa ni faida kwako ili kujifungua vema.
 
'
But still, kumcheat mkeo ni upuuzi,mwanaume anaejitambua hafanyi huo upuuzi!

I see Eiyer hii maneno mbofu mbofu kwa nini unaisemea hivyo? wengine imani zetu zinaturuhusu kubeba wanawake 3

'Mahawara hawaachani,sosi: Fidel80 !

Hapa sasa sawa sawa nakwambia Mahawara walio achana kwa amani huwa hawaachani kamwe, wanacho fanya nikukumbushia enzi zao.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????

Kimada kinamsaidia mmeo kupunguza stress lasivyo wanawake wengi wangekuwa wanazaa kabla ya muda
 
SWEET HUSBAND unaitwa huku ujibu swali
nawaza tu kwa sauti!
ah!

Niko hoi, hata huku naona tabu kuingia!!asubuhi hii tu nimegonga, na nina siku kadhaa nitue, wanaokosa kwa wake zao wakiwa wajawazito wanamiss, kwa mujibu wa mr anadai ni tofauti na nikiwa sina mimba, anasumbua balaa, thanks God na mimi napenda sana hiyo kitu nikiwa na mimba, wala hatumii nguvu kuninyegesha,maana niko tayari full time. Sema wengina huwa wakiwa na mimba wanapoteza hamu, na nikawaida pia, haya snowhite karibu bakuli la matunda maana ya leo mengi mno!!!!
 
Hivi ni kweli kwamba mkeo akiwa mjamzito lazima utafute mwanamke nje mwingine kwa jina maarufu kama kimada au inategemea na tabia ya mwanaume mwenyewe?????

BEAUTIFUL WIFE, usijali huwa hawatoki mi naona ni tabia tu ya mtu, kama wewe unapenda na yeye anaenjoy na joto lako,sidhani, akifanya hivyo basi hana upendo na huruma kwa mkewe! ila usiwazie hivyo maana utamchukia na hamu nae haitakuwepo.
 
Back
Top Bottom