Recent content by Sahel 234

  1. S

    Bara la Afrika ukilichimba kwa ndani limetapakaa utajiri tu, mabeberu wanatamani tubadilishane mabara

    Kama ikitokea tumebadilishana wao wakaja huku africa...basi baada ya miaka kumi au ishirini africa itakuwa tajiri na australia itakuwa masikini.....tutaonba tubadiliahane tena..😆
  2. S

    State of Fear: Inside Tanzania's Enforced Disappearances - BBC Africa Eye Documentary

    But haijalishi ni maslahi au vp nadhani walichokiongea ni ukweli na wote tumekishuhudia tokea mwanzo wa hizi awamu mbili. Yaaani ni ukweli uleule ambao tumekuwa tunaishi nao sema tu sasa hv unaongelewa kwa sauti ya kimataifa zaidi. Sasa ishu ya maslahi au la haiwezi kufuta kwamba linachoongelewa...
  3. S

    What Should I Wear While Traveling?

    It depends on the means of transport you’ll be traveling with, but either way, comfort should always come first—without completely sacrificing style. Starting with the upper part, a T-shirt is usually the most comfortable option. Cotton is especially a good choice because it stays breathable and...
  4. S

    Orodha ya vijana na kiasi wanachomiliki na umri wao

    Wengi wao ni wadada....ni motivation nzuri...just an observation tu..😀
  5. S

    Ipo Siku Wanaomtukana Matusi Rais Samia Watakuja Kulia Machozi ya Damu na Kumuomba Msamaha

    Kaachq historia..hamna raisi atakuja kuua watu kama alivyoua yeye ...hata ile rekodi ya mkapa na karume kaivunja
  6. S

    Kila la Heri Uganda leo tafadhali tunaomba mtufunge maana vinginevyo Sifa zote zitaenda kwa mama

    Naungana na haya maombi...tufungwe...eeeh Mungu saidia tena iwe kipigo cha mbwa mwitu.
  7. S

    PostGE2025 ‘Mmiliki’ wa mabasi ya Esther: Kampuni imehusishwa kimakosa na wanasiasa. Walivamia na kuchukua fedha, tulipata hasara ya Bilioni 2.1

    Ilivyokuwa inahusishwa na vigogo wa serikalini mbona hakujitokeza kukanusha...avune alichopanda.
  8. S

    Msanii Beka Flavor aomba radhi, atoa ujumbe wa shukrani na amani

    kweli kabisa, husimuamini mtu anayesema kama nimekosea basi nisamehe...😀
  9. S

    Kuna kitu cha kushangaza naambiwa hapa, je ni kweli?

    Guys, maji nayo ni kitu cha kupigishana kelele . Guys mvua zinanyesha siku nyingi tu guys, tuvumilie tu guys
  10. S

    Is Tanzania headed for deeper upheaval?

    Anadanganya but nadhani kwenye uongo wake anajiamini pia....labda maandamano hayakuwa registered kweli, just thinking...sheria za nchi labda zinabana hapo kwamba wanahitaji yawe registered kwanza either na chama cha siada, au civil society organization au anyone, au atleast some evidence that...
  11. S

    PostGE2025 Maandamano ya 9D yamekaa kimtego sana

    Imekaa kimtego haswaaa, ila mm my take naona; Serikali sasa hv haitoweza kuchukua hatua zozote kali kwasababu wapo pabaya sana ..kila camera inaangazia nn kinaendelea Tanzania....vyombo vya nnje vipo on high alert hasa baada ya kusikia nn kimetokea wiki kadhaa zilizopita. So sidhani kama...
  12. S

    Ushauri kwa vyama vya upinzani: Nia na dhamira ya Rais Samia ni njema , tutamkumbuka.

    Mtu hawi kiongozi kwa jicho la tatu au dhamira xake za rohoni, bali kwa uwezo wake wa kuongoza na nia ya kupambana na changamoto za wananchi. Hilo jicho la ndani ni la kwake...alitumie anavyotaka, sisi tunataka matokeo tu na uwajibikaji.
Back
Top Bottom