Nadhani mchango wangu hapa ni kwamba; hii mada ni muhimu sana na naamini wahusika wanapaswa kuifanyia kazi kwa haraka kabla haijageuka kuwa tatizo kubwa zaidi kwa sekta ya afya.
Kiukweli hili suala linaweza kuonekana jepesi kwa mtu ambaye ameajiriwa na serikali, kwa sababu mara nyingi anakuwa...
Sehemu wamepangilia vizuri ni funcity kigamboni...wao kuna sehemu ya kuogelea ya watoto na ya wakubwa.....angalau kule pamekaa vizuri...jPo siku za sikukuu pia watoto tu wanamuwa wengi sana japo huwezi kukuta msongamano na watu wazima kama hvyo....
Nadhani ishu hapa nilichojifunza pia ni watanzania wenyewe. Watanzania wanahama sana na upepo na ndio maana hzi story za kijinga zinatrend fasta na kufunika mada za msingi
Kama ikitokea tumebadilishana wao wakaja huku africa...basi baada ya miaka kumi au ishirini africa itakuwa tajiri na australia itakuwa masikini.....tutaonba tubadiliahane tena..😆
But haijalishi ni maslahi au vp nadhani walichokiongea ni ukweli na wote tumekishuhudia tokea mwanzo wa hizi awamu mbili. Yaaani ni ukweli uleule ambao tumekuwa tunaishi nao sema tu sasa hv unaongelewa kwa sauti ya kimataifa zaidi. Sasa ishu ya maslahi au la haiwezi kufuta kwamba linachoongelewa...
It depends on the means of transport you’ll be traveling with, but either way, comfort should always come first—without completely sacrificing style.
Starting with the upper part, a T-shirt is usually the most comfortable option. Cotton is especially a good choice because it stays breathable and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.