Kama ikitokea tumebadilishana wao wakaja huku africa...basi baada ya miaka kumi au ishirini africa itakuwa tajiri na australia itakuwa masikini.....tutaonba tubadiliahane tena..😆
But haijalishi ni maslahi au vp nadhani walichokiongea ni ukweli na wote tumekishuhudia tokea mwanzo wa hizi awamu mbili. Yaaani ni ukweli uleule ambao tumekuwa tunaishi nao sema tu sasa hv unaongelewa kwa sauti ya kimataifa zaidi. Sasa ishu ya maslahi au la haiwezi kufuta kwamba linachoongelewa...
It depends on the means of transport you’ll be traveling with, but either way, comfort should always come first—without completely sacrificing style.
Starting with the upper part, a T-shirt is usually the most comfortable option. Cotton is especially a good choice because it stays breathable and...
Anadanganya but nadhani kwenye uongo wake anajiamini pia....labda maandamano hayakuwa registered kweli, just thinking...sheria za nchi labda zinabana hapo kwamba wanahitaji yawe registered kwanza either na chama cha siada, au civil society organization au anyone, au atleast some evidence that...
Imekaa kimtego haswaaa, ila mm my take naona;
Serikali sasa hv haitoweza kuchukua hatua zozote kali kwasababu wapo pabaya sana ..kila camera inaangazia nn kinaendelea Tanzania....vyombo vya nnje vipo on high alert hasa baada ya kusikia nn kimetokea wiki kadhaa zilizopita. So sidhani kama...
Mtu hawi kiongozi kwa jicho la tatu au dhamira xake za rohoni, bali kwa uwezo wake wa kuongoza na nia ya kupambana na changamoto za wananchi. Hilo jicho la ndani ni la kwake...alitumie anavyotaka, sisi tunataka matokeo tu na uwajibikaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.