Recent content by Saguda47

  1. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

    Dah! Vijana hawajui tu kuwa wao ni mashine kamili, hakuna haja ya madawa, jiamini ishi kawaida, usikamie wakati wa tendo, relax. Maandalizi muhimu. Ukianza kuokoteza njia mbadala hapo ndipo kujiamini kunapotea na matokeo yake si mazuri. Utaishia kulaumu marafiki kuwa dawa waliokupa haikutoa...
  2. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    😂😂😂😂😂
  3. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Yeah! Umakini muhimu, angeweza kukutana counter right-hook punch kirahisi ndiyo maana alijiweka mbali kila aliposhambulia😂
  4. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Hahahaha dah umetisha mkuu
  5. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    We mjinga kweli, yaani mwanao wa kumzaa usimpige anapokosea pakubwa? Au hujui malezi ya watoto wa kiafrika? Unamtuma ana kataa, au anakujibu jeuri utafanya nini zaidi ya kumwadhibu?
  6. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Dahhh! Yaani mtoto wa kiunoni mwako anakupiga? Hii laana kabisa
  7. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Bi mkubwa bado yuko fit
  8. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ushafeli tayari
  9. Saguda47

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza mbuzi na kondoo

    Yaani biashara ya mtandaoni bila hata picha za bidhaa na huduma unazotoa? Mtu ataamini vipi sasa mkuu angalau kwa kuona unachotoa? Tangazo halijakamilika mkuu
  10. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Kabisaa😂😂😂
  11. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Hakuna siyo kwa wote, nakumbuka kipindi nikiwa mdogo tunachunga ng'ombe juani ilikuwa inanitokea lakini iliacha miaka mingi sana baada ya kutojoweka sana juani. Ikiwa itazidi, mtu achome miiba ya kalungu yeye ajifukize.
  12. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Upo na stress ukiwa wapi? Au una enjoy ukiwa wapi?

    Hapo ndipo madeni huanza, halafu mshahara ukitoka unalipa madeni unakopa tena
  13. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Alirudi kutoka nje ya nchi na kuanzisha biashara ya genge

    Hata picha ya genge la huyo shujaa mkuu haipo?
  14. Saguda47

    JamiiForums Tanzania UONGO WA KARNE: "Pesa Haiwezi Kununua Furaha" Neno la Kujifariji La Masikini na Kukaririwa na Wasomi

    Pesa ina tatua 80% - 90% ya changamoto za maisha yetu, kukosa pesa kutapelekea yafuatayo:- 1. Kukosa amani 2. Wasiwasi na msongo wa mawazo 3. Kifo 4. Huongeza Dhambi na uasi 5. Upendo kufifia 6. Aibu na fedheha 7. Kukosa heshima 8. Ugomvi 9. Wanandoa kutengana N.b: fedha ni jibu la mengi...
  15. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

    Kuendeshwa na CCM hovyo sana. Hilo li kachero la CCM lipo kulinda maslahi ya serikali
Back
Top Bottom