Recent content by Saguda47

  1. Saguda47

    UONGO WA KARNE: "Pesa Haiwezi Kununua Furaha" Neno la Kujifariji La Masikini na Kukaririwa na Wasomi

    Pesa ina tatua 80% - 90% ya changamoto za maisha yetu, kukosa pesa kutapelekea yafuatayo:- 1. Kukosa amani 2. Wasiwasi na msongo wa mawazo 3. Kifo 4. Huongeza Dhambi na uasi 5. Upendo kufifia 6. Aibu na fedheha 7. Kukosa heshima 8. Ugomvi 9. Wanandoa kutengana N.b: fedha ni jibu la mengi...
  2. Saguda47

    Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

    Kuendeshwa na CCM hovyo sana. Hilo li kachero la CCM lipo kulinda maslahi ya serikali
  3. Saguda47

    Umepumzika lini mara ya mwisho? Ukaona "hapa kweli nimehema"

    Lindo, kibaruani, na baani. Upuuzi mtupu, hakuna kupumzika
  4. Saguda47

    Makonda: Nyasi za Benjamini Mkapa kupandwa upya

    Mkandarasi wa viti? Si mwaka jana. Tu wameweka viti vipya? Dah!
  5. Saguda47

    PICHA: Rais Samia Akiwa Na Pistol Mkononi Akiwa Ameishika Kikakamavu na Kikomandoo

    Kwa hiyo chawa unaamini huyo mamayo ni komando siyo? Safari ni ndefu sana, akili kama hizi haziwezi kuwa akiba bora ya fikra ya vizazi vijavyo. Hata kama unampenda mtu siyo kwa ujinga huu. Mtakuja kuulizwa na vitukuu vyenu kuhusu hii dhambi. Mwanaume kufikia hatua ya kumsujudia mwanamke namna...
  6. Saguda47

    Tafiti zanaonyesha wanaume weupe hawapendi mapenzi

    Kiufupi Africans ( black) sisi tunapenda:- 1. Starehe zilizo hata nje ya vipato vyetu, yaani muda mchache wa kazi starehe kwa sana 2. Mavazi ya gharama na yasiyo ya lazima 3. Ufahari wa kujaribu kuonekana 4. Ngono holela 5. Uzembe wa kazi. 6. Udanganyifu, wizi, utapeli etc
  7. Saguda47

    Zanzibar, sisi Yanga tunajaribu kuwaheshimisha nyie mnaeta dharau kwetu? Mlichofanya si Uzalendo

    Mnajaribu kumfurahisha mngazija mmewasahau wamatumbi wa bara.
  8. Saguda47

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Safi sana, Icon ya soka la bongo ni Simba SC pekee, msimu ulikuwa mbaya kwake. Eti msimu huu simba atashushwa kwenye rank za CAF na Yanga, kiko wapi?
  9. Saguda47

    Ushauri: Yanga ihamishie mechi zake za ligi ya NBC Zanzibar

    Utopolo wanashindwa kwenda quarterfinals misimu miwili mfululizo huku wakijiaminisha ni klabu bora Afrika. Walijiaminisha kuwa wataishusha simba kwenye rank za CAF
  10. Saguda47

    Baba Bora Hawezi Kutelekeza Watoto Wake Hata akiwa kwenye Ugomvi na Mzazi Mwenzie

    Sasa unamlaumu itasaidia nini? Unadhani ni kwanini aliamua kuoa mwanamke mwingine na kupakimbia nyumbani kwake pa mwanzo ( kwa mama yako)? Elewa kuwa Baba na mama yako walikuwa wanandoa, ulikuwa ni uhusiano wa hiari na sio undugu wa damu. Je, mama yako alikueleza madhaifu yake mwenyewe dhidi...
  11. Saguda47

    Range Rover ikizeeka inakonda

    Waswahili bhana, ukute hata dashboard ya gari huijui halafu unaichambua range rover 😂😂
  12. Saguda47

    Makabila yanayosifika kwa kutokuwa na ubinafsi

    Ukitaka uishi vizuri na wasukuma, zingatia haya:- 1. Usiwe mtu mwenye majivuno na dharau, maana watakudharau mara tatu yake 2. Kuwa mtu mcheshi na mwenye kuheshimu watu, maana wasukuma wanapenda watu wacheshi 3. Epuka kufanya vitendo vinavyokiuka maadili katika jamii. Mfano kutongoza ama...
Back
Top Bottom