Dah! Vijana hawajui tu kuwa wao ni mashine kamili, hakuna haja ya madawa, jiamini ishi kawaida, usikamie wakati wa tendo, relax. Maandalizi muhimu.
Ukianza kuokoteza njia mbadala hapo ndipo kujiamini kunapotea na matokeo yake si mazuri. Utaishia kulaumu marafiki kuwa dawa waliokupa haikutoa...