Pesa ina tatua 80% - 90% ya changamoto za maisha yetu, kukosa pesa kutapelekea yafuatayo:-
1. Kukosa amani
2. Wasiwasi na msongo wa mawazo
3. Kifo
4. Huongeza Dhambi na uasi
5. Upendo kufifia
6. Aibu na fedheha
7. Kukosa heshima
8. Ugomvi
9. Wanandoa kutengana
N.b: fedha ni jibu la mengi...
Kwa hiyo chawa unaamini huyo mamayo ni komando siyo?
Safari ni ndefu sana, akili kama hizi haziwezi kuwa akiba bora ya fikra ya vizazi vijavyo.
Hata kama unampenda mtu siyo kwa ujinga huu.
Mtakuja kuulizwa na vitukuu vyenu kuhusu hii dhambi.
Mwanaume kufikia hatua ya kumsujudia mwanamke namna...
Kiufupi Africans ( black) sisi tunapenda:-
1. Starehe zilizo hata nje ya vipato vyetu, yaani muda mchache wa kazi starehe kwa sana
2. Mavazi ya gharama na yasiyo ya lazima
3. Ufahari wa kujaribu kuonekana
4. Ngono holela
5. Uzembe wa kazi.
6. Udanganyifu, wizi, utapeli etc
Utopolo wanashindwa kwenda quarterfinals misimu miwili mfululizo huku wakijiaminisha ni klabu bora Afrika.
Walijiaminisha kuwa wataishusha simba kwenye rank za CAF
Sasa unamlaumu itasaidia nini?
Unadhani ni kwanini aliamua kuoa mwanamke mwingine na kupakimbia nyumbani kwake pa mwanzo ( kwa mama yako)?
Elewa kuwa Baba na mama yako walikuwa wanandoa, ulikuwa ni uhusiano wa hiari na sio undugu wa damu.
Je, mama yako alikueleza madhaifu yake mwenyewe dhidi...
Ukitaka uishi vizuri na wasukuma, zingatia haya:-
1. Usiwe mtu mwenye majivuno na dharau, maana watakudharau mara tatu yake
2. Kuwa mtu mcheshi na mwenye kuheshimu watu, maana wasukuma wanapenda watu wacheshi
3. Epuka kufanya vitendo vinavyokiuka maadili katika jamii. Mfano kutongoza ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.