Recent content by Saguda47

  1. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Huku Mbeya, mikonyagi feki iko kibao, yaani unakunywa kama maji. Hovyo kabisa, mamlaka zinakula pamoja na watengenezaji wa pombe za magendo na feki.
  2. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Kwenye kila Mimi ni kama huwa kuna Mimi nyingine nyuma ya hiyo Mimi, je Mimi ni nani?

    Umejibu vizuri sana
  3. Saguda47

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Sheria ipi inakuruhusu kumpa mtu jina lako kisha baadae akurudishie? Huoni kuwa wewe ni sehemu ya udanganyifu? Unaumia kwa sababu mhusika anapata pesa ndefu. Pole lakini
  4. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Sahihi Kumuadhibu Mke kwa Kumchapa?

    mkishindwana, Kuachana ni suluhisho tosha.
  5. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Hakuna wizara ambayo itakufanya kuwa wa ovyo kama wizara ya mambo ya ndani usipokuwa makini

    Taifa letu linaendeshwa na watu wenye ufahamu mdogo sana walio kwenye nafasi nyeti za taifa. Kwa Tanzania maneno " MIKUTANO YA KISIASA" na "MAANDAMANO" taratibu yanageuka kuwa jinai na uhalifu mbele ya watawala licha ya kuwa kinachoitwa " KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA" inayatambua...
  6. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

    Dah! Vijana hawajui tu kuwa wao ni mashine kamili, hakuna haja ya madawa, jiamini ishi kawaida, usikamie wakati wa tendo, relax. Maandalizi muhimu. Ukianza kuokoteza njia mbadala hapo ndipo kujiamini kunapotea na matokeo yake si mazuri. Utaishia kulaumu marafiki kuwa dawa waliokupa haikutoa...
  7. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    😂😂😂😂😂
  8. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Yeah! Umakini muhimu, angeweza kukutana counter right-hook punch kirahisi ndiyo maana alijiweka mbali kila aliposhambulia😂
  9. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Hahahaha dah umetisha mkuu
  10. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    We mjinga kweli, yaani mwanao wa kumzaa usimpige anapokosea pakubwa? Au hujui malezi ya watoto wa kiafrika? Unamtuma ana kataa, au anakujibu jeuri utafanya nini zaidi ya kumwadhibu?
  11. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Dahhh! Yaani mtoto wa kiunoni mwako anakupiga? Hii laana kabisa
  12. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

    Bi mkubwa bado yuko fit
  13. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ushafeli tayari
  14. Saguda47

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza mbuzi na kondoo

    Yaani biashara ya mtandaoni bila hata picha za bidhaa na huduma unazotoa? Mtu ataamini vipi sasa mkuu angalau kwa kuona unachotoa? Tangazo halijakamilika mkuu
Back
Top Bottom