Recent content by Sagao

  1. Sagao

    KERO Mamlaka ya Maji Mbeya wanazidisha dawa ya kutibu maji na kupelekea yapoteze ladha

    Hili mm nililigundua mapema na sikuwa na jinsi ikabidi nitafute sehemu ilipo chem chem ya maji hata kama ni mbali kiasi gani niwe naenda kuchota maji ya kunywa, ni gharama lakini inanibidi
  2. Sagao

    Kwanini ni ngumu sana kupata mwenza mkamilifu

    Mungu kwanza kwa kila jambo
  3. Sagao

    Natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo

    *Habari zenu wana jamiiforum wenzangu? Naitwa Sagao niko Mbeya, natafuta marafiki wa kuchat nao popote ulimwenguni, sina ubaguzi wa dini, kabila wala umri. Email yangu ni sagaonew@gmail.com na mobile number ni +255767172221.*
  4. Sagao

    Ugonjwa wa Kisonono (Gonorhea): Dalili, kinga na tiba yake

    Mi napenda nimshauri angeenda kupima kabla ya kuanza kujichukulia uamuzi wa kumeza dawa, magonjwa ya zinaa mengi yana stage zake, matibabu yanatolewa kwa stage vilevile.
  5. Sagao

    Natafuta marafiki

    Natafuta marafiki wa jinsia zote wenye umri kati ya 25-40 popote duniani. Sina ubaguzi wa dini wala kabila. E-mail yangu ni sagaonew@gmail.com mail zote zitajibiwa kwa muda mfupi. Naitwa Luna Sanga.
  6. Sagao

    GE2010 Mpesya umepata fundisho!

    Kwa hakika Mpesya umepata fundisho kubwa sana, kitendo cha kuwafanya wapiga kura wa jimbo la mbeya wajinga umefika kikomo, ulisema Sugu ni muhuni mtoto wa mama lakini tambua kuwa wana Mbeya wanakuona wewe ndo muhuni kwa kutotimiza ahadi zako na kujali maslahi yako binafsi. Kama sugu alikuwa...
  7. Sagao

    GE2010 CONFIRMED: Mbozi Mashariki - CHADEMA washinda ubunge

    Mgombea wa CHADEMA Ameshinda kwa kura ngapi?
  8. Sagao

    GE2010 Mkurugenzi wa NEC atua Ubungo

    Naomba muwe makini na wachakachuaji!
  9. Sagao

    GE2010 Hongera sana Sugu

    Nakupongeza sana kwa ushindi uliyoupata, kaza buti, mapambano dhidi ya ufisadi ndo kwanza yanaanza.
Back
Top Bottom