Wakati mwingine Viongozi wetu wanashindwa kuwa chachu ya maendeleo ya ujumla wao yao Matumbo afu eti tutegemee kufika huko Kwa mfumo huu Kiukweli ni ngumu sana
Umaskini mbaya sana Yaani unataka kurudi kwenye NOTE 3? Utakutana na simu ambayo sio mpya hata uikute dukani inakuwa imetumika na ikaleta matatizo ikarudishwa China ikarekebishwa na imerudi sokoni kama mtumba NUNUA HATA J4 LAKI 4 MPYA
Sent using Jamii Forums mobile app
MI nimetumia Meizu nimetumia kama moja ya hizo haujawai kutumia jaribu utaelewa namaanisha nini Kwa mala ya Kwanza niliagiza MI toka South Afrika kuja kishituka kumbe ya kawaida baadae nikaagiza Meizu M2NOTE, nikaitumia mpaka nikaichoka Baadae MEIZU Mx hii ni balaa
Acha kupotosha ndugu UMEWAI KUTUMIA Google pixels? Meizu je? OPPO? Hiyo MI, Huawei na MEIZU zimewai kushindanishwa MEIZU ikawa ndo BABA LAO acha kupotosha kisa ulikuwa unatumia TECNO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.