Ndege anapokua hai huwa anakula sana wadudu, lakini anapokufa wadudu humla yeye maisha yanabadilika kila wakati, kwa hiyo usimdharau wala kumuumiza mtu yoyote katika maisha yako, unaweza ukawa imara sana.
Lakini kumbuka dunia ni imara kuliko wewe, mt mmoja unaweza ukatengeneza mamilion ya...