Recent content by SADALA ELIAS

  1. S

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mimi ni fundi wa kufunga ving'amuzi vyote nipo rukwa ZIWA TANGANYIKA; maoni yangu; naomba ninapo hitaji kufanya restore factory, eneo liwe wazi isiwe lazima kuomba msaada toka kwenu, maana mnakuwa bize sana kiasi cha kuchelesha mambo kwa wateja.
  2. S

    TRA acheni ukiritimba kwenye kutoa leseni za udereva

    Kusubiri ni lazima na muhimu, kwani inawezekanaje material ikafichwa kwazaidi ya mwezi kwaajili ya kutafuta rushwa?
  3. S

    Kifo cha Sokoine: Tujiondoe jela ya kifikra

    uongo mchana kweupe
  4. S

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    kumbe ni wajamaa wa kweli
  5. S

    Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Vema sana kijana kwa maelekezo na kutoa maarifa yanayo hitajika kwa muombaji na mwajiri.
Back
Top Bottom