Walipandikiza dini ili watutawale kwa muda mrefu bila kutumia nguvu.
Watu wenye uelewa wa kawaida wanafuata mfumo ulivyo, wanauamini na hawahoji.
Wachache wenye akili nyingi kama mtoa mada wanahoji.
Makosa yanaanzia kwa wazazi kuzaa watoto wakati hawana uwezo wa kuwalea.
Kujipambania sio sifa nzuri, haina haja ya kuzaa mtoto wakati huna uwezo wa kumlea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.