Recent content by saci

  1. saci

    JamiiForums Tanzania Nitaendelea kuwalaumu wakoloni kwanini hawakusisitiza elimu kwa mtu mweusi ila waliona dini ndio muhimu?

    Walipandikiza dini ili watutawale kwa muda mrefu bila kutumia nguvu. Watu wenye uelewa wa kawaida wanafuata mfumo ulivyo, wanauamini na hawahoji. Wachache wenye akili nyingi kama mtoa mada wanahoji.
  2. saci

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 6/10: Spark Plugs na Ignition Coils!

    Elimu nzuri, endeleza somo
  3. saci

    JamiiForums Tanzania Je, nichukue hii Samsung Galaxy A 14?

    Inategemea na mahitaji yako
  4. saci

    JamiiForums Tanzania Naombeni muongozo wa kupima DNA

    Upo sahihi mkuu, kama mtoto ni wako lazima kuna kitu atachukua upande wako.
  5. saci

    JamiiForums Tanzania Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Asante nitakupigia
  6. saci

    JamiiForums Tanzania Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Laptop 90w Spika 30w
  7. saci

    JamiiForums Tanzania Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Mkuu Kwa matumizi ya kuchaji simu, kuchaji laptop, taa na sabufa unashauri ya ukubwa gani?
  8. saci

    JamiiForums Tanzania Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Na linadumu mda gani?
  9. saci

    JamiiForums Tanzania Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

    Mkuu battery la 100ah kavu ni bei gani.
  10. saci

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na Flagship phones, nipe ushauri wa Mid range smartphones ukitoa Tecno na Infinix!

    Mkuu kati ya redmi 10 na redmi 10c ipi bora?,
  11. saci

    JamiiForums Tanzania Heshimu sana mwanaume ambaye ni "self-made"maisha sio mchezo

    Makosa yanaanzia kwa wazazi kuzaa watoto wakati hawana uwezo wa kuwalea. Kujipambania sio sifa nzuri, haina haja ya kuzaa mtoto wakati huna uwezo wa kumlea.
  12. saci

    JamiiForums Tanzania Je? Wanawake tunaowasimanga kwa kua na watoto walisababisha wao wenyewe? Au basi tu nikuwaonea.

    Wote wanahusika, kama unampenda mtu utamlinda
  13. saci

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

    Kuna hii inaitwa arcane sijui kama ni anime iko tofauti kidogo ila ni nzuri balaa
  14. saci

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

    Kama nyani kwenye muvi nyingi ni mlinzi au jambazi
  15. saci

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

    Zipo ambazo mpaka uelewe kisa ni mziki
Back
Top Bottom