Adamu na hawa katika shamba la edeni walikuwa uchi na maisha yalienda kama kawa. Walipotenda dhambi tu, wakajikuta na aibu na kutafuta matawi. Tunavaa nguo kwa sababu tuna dhambi..... Ni vema tujiachie na mavuvuzela yetu, ni ishara ya uwazi na usafi wa asili. Mnaonaje?
Pilix2 tamu ikiingia mwilini lakini ikitoka blaa!! Pia ni silaha ya kuzuia majambazi usiku, unawatupia machoni hafu unasikilizia muziki wake!!! Thenks sana
Hii kasheshe, Inabidi tukasome kiswahili cha komputa... msamiati unatisha. Du, kama namba nane; Mtazamo Ulioharakishwa (Outlook Express); pengine ingekuwa 'mtazamo wa nje.....'
Hawa wageni wanapora nchi tu. Wanapora na kuwekeza kwao. Jamani, jamani tuwe na uchungu na nchi yetu! Naamini hata iweje mtz hawezi kupata ajira huko kenya. Watafanya juu chini apate mkenya...lakini hapa bongo mmmmmm!!
Siku hizi wahubiri wengi wanafanya biashara na waumini, Wanauza injili kwa sadaka. Wanawakamua kondoo (washirika) bila aibu. Hata Benny Hinn ana kashfa kubwa ya kuwa nabii wa uongo. Kwa maoni yangu, watu wasome maandiko yanavyosema na kuyafuata na sio kuwafuata wahubiri matapeli. Ni maoni tu.
Re: Dedicated to Nyani Ngabu: Book on How the Internet is making us Stupid!
Hivi Huyu mlengwa ndo kazi yake kukesha kwenye internet au maanake nini?
Ninachosema ni kwamba kila kitu duniani kina sura mbili, wema na ubaya. Internet imewezesha dunia kufika ilipo ki maendeleo. Kwa upande wa pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.