Recent content by Sabih kilimo

  1. Sabih kilimo

    Kuhusu Muungano, Wazanzibari wametuzidi ujanja

    Sasa hapa blaza ulitaka nani atoke nani aingie? Kama ni Samia Suluhu yeye ni rais wa nchi kwa vyovyote huwezi kumuweka pembeni Kama ni Hussein Mwinyi huwezi mkwepa yeye ndio Rais wa Zanzibar Karume yeye na Nyerere ndio maana halisi ya Muungano kwa vyovyote lazima wawepo sasa hapo nikuulize...
  2. Sabih kilimo

    Kwanini bia lita 5 zinanyweka ndani ya saa na sio maji?

    Kwa sababu ni rashisi zaidi kubadili bia kua mkojo kuliko maji
  3. Sabih kilimo

    Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

    Aliokoa sana Jahazi darasa la saba mpaka mwenye piont 90 alienda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2012 walipanga matokeo kwa njia ya B.R.N kwenye mwaka wetu wakafuta wakatuwekea div four mpaka 40[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kusoma na watoto...
  4. Sabih kilimo

    Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

    Oya huyu dogo katupindishia sheria sana si tuliosoma nae mwaka mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]darasa la nne kurudia kulifutwa,darasa la saba kukawa kuna second selection mpaka awamu ya tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form two kurudia kukafutwa,form four kulikua na div...
  5. Sabih kilimo

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB Handeni Tanga kuna kadada flani keusi nywele hakaja suka kamepaka dawa kanaringa sana ukifika akuhudumie unatakiwa kila kitu uwe unakielewa ukimuuliza atakupa jibu baya na hana time na wewe kiufupi anadharau sana kila nikifika handeni nikihitaji huduma ya ndani naishiwa nguvu kabisa...
  6. Sabih kilimo

    Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

    Ndugu,ni bora walivyotumia hivyo japo ni matumizi ya hovyo lakini yameonekana kuliko wangejinufaisha wenyewe kwa matumbo yao
  7. Sabih kilimo

    Kati ya mpenzi wako na mama yako ni nani alibeba mimba yako? [emoji16]

    Nakataa mkuu wakati ukiwa tumboni kwa mama yako kila mmoja alikua na tumbo lake
  8. Sabih kilimo

    Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Sabih kilimo

    Tetesi: Wazanzibari wengi wanautweza Utanzania, shida ipo wapi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Sabih kilimo

    Nahitaji mwana sheria/au wakili wa kujitegemea

    Mimi ni mfanya biashara wa kawaida nahitaji mwanasheria/wakili msomi wa kujitegemea Mwenye sifa zifuatazo; Awe mkazi wa Tanga Awe mzoefu na masuala ya mahakama asitafutie uzoefu kwangu. Awe Mwenye kujiamini zaid asitetereke wa kutikiswa na aina yoyote ya kesi. Mawasiliano +255712331257...
  11. Sabih kilimo

    Kampuni ya ulinzi inahitaji kuongeza wanahisa wawili

    Hilo ni ngumu kutokea kutokana na uongozi na usimamizi bora wa kampuni...ahsante
  12. Sabih kilimo

    Kampuni ya ulinzi inahitaji kuongeza wanahisa wawili

    Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa kampuni ya ulinzi ya THE NEW MILLENIUM SECURITY SERVICE CO.LTD anahitaji kuongeza share holder wawili kwenye kampuni yake. Kampuni ina makao makuu yake jijini Tanga na matawi sehem tofaut tofaut. Mmiliki wa kampuni anatanguliza shukrani...
  13. Sabih kilimo

    Namna msimamo wa EPL utakavyokuwa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Sabih kilimo

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Safisha wachezaji wote acha watatu tu niyonzima, feisal, mnata leta watu wapya uone shughuli
Back
Top Bottom