Wewe nawe hauna hoja, serikali ya CCM ina magari yenye thamani ya trilioni 4 hizo zote ni kodi zetu wananchi sitakuwa na tatizo na Mbowe kama hilo VX kanunua kwa hela yake mwenyewe
Wewe banaa hata kujieleza haujui ndio maana walikupiga chini kwenye Ubunge EAC....kwahiyo unataka nyumba aliyoishi Savimbi ndio Mbowe waishi hivyo hivyo ni sawa sawa uwe na hela mfukoni badala ya kupanda daladala eti unatembea kama kielelezo cha kubana nauli...
I never knew you were this empty headed and very shallow upstairs...huko unakosema kuchelewa kufika uwanjani sielewi una mantiki gani maana naona ni porojo kama za kwenye vijiwe vya kuuza kawa pale kariakoo labda kama na wewe umeanza kukaa kwenye hivyo vijiwe sawa.
Kama msafara wa Mbowe...
Msaada natafuta battery ya Blackberry Bold 9780 ninayotumia haikai na charge muda mrefu mwenye kuwa nayo naomba tuwasiliane ili nijue bei ni shilingi ngapi pia waweza kuni PM. Asanteni
Mkuu mimi sio mshabiki wa chama chochote kile lakini kwa jinsi hali ya kesi ilivyo na CCM wanavyojua kuchezesha karata zao utaniambia hapo baadae maana huyu Makongoro Mahanga ni mjanja mjanja sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.