mhalisi JF-Expert Member Sep 9, 2011 1,181 320 Jun 24, 2012 #2 baadhi ya kina dada wanaona wanakwenda kisasa wakati ni mmomonyoko wa maadili!
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Jun 24, 2012 #3 mhalisi said: baadhi ya kina dada wanaona wanakwenda kisasa wakati ni mmomonyoko wa maadili! Click to expand... Siyo mmomonyoko wa maadaili tu mkuu, bali wameingiwa na mashetani na mapepo wabaya. Wanahitaji kuombewa ili wamrudie Bwana.
mhalisi said: baadhi ya kina dada wanaona wanakwenda kisasa wakati ni mmomonyoko wa maadili! Click to expand... Siyo mmomonyoko wa maadaili tu mkuu, bali wameingiwa na mashetani na mapepo wabaya. Wanahitaji kuombewa ili wamrudie Bwana.
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jun 24, 2012 #4 Engine inabata hewa bwana kama za Nissan huwa zinafunuliwa kwa mbele!
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jun 24, 2012 #6 Saas said: View attachment 57360 Mhh...Haya Click to expand... huu nao ni UDHAIFU,,,,.UKWELI NI UHURU
Saas said: View attachment 57360 Mhh...Haya Click to expand... huu nao ni UDHAIFU,,,,.UKWELI NI UHURU
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Jun 24, 2012 #7 Tukisema wanaenda kujiuza wanalalamika.
Sorrow to Joy JF-Expert Member Jan 22, 2012 292 59 Jun 24, 2012 #11 Yuko sokoni na kwa hivi alivyo akiolewa... sijui. wa hivi hawaolewi ni wa mapambo tu