Makongoro Mahanga ashinda kesi ya uchaguzi jimbo la Segerea

Status
Not open for further replies.
Wakuu mimi nimeamka na uchovu wa jana wa kusherehekea kutokupanda kwa mishahara! Hapa Arusha tunasubiri kwa hama sana Updates kutoka huko mahakamani.

Na Updates zilizopo hapa Arusha ni kua ile kesi ya kumvua ubunge muheshimiwa Lema wao wenyewe CCM baada ya kutafakari kwa kina ili isiikubali ile rufaa ya Chadema hapo awali eti ni kua wamekaa na kutafakari na wakaiomba mahakama ikubali rufaa ile na katika kusikiliaza rufaa hiyo basi mahakama ikubali na kuurudisha ubunge wa Lema kuepusha garama za uchaguzi huku wakijua kua hawatashinda hata kama Chadema wakasimamisha jiwe! Kwa hiyo Update nilizonazo ni kua Lema lazima ubunge wake arudishiwe.

Ndallo hilo kila mtu analijua kuwa CCM walichofanya ni kumpiga chura teke kwenye mto. Wafanye watavyoona lakini wajue ni lazima ile kwao.
 
ccm chama makini sana, hyo kesi leo wanashnda bila shaka, CDM nawapa pole mapemaaaaa, kwanza kesi yenyewe haina mashiko kabsaaaa poleni nduguzangu CCM ipo juuu achen unafki jaman.
 
Mkuu mimi najiandaa kucheza Ngwasuma tu, jogoo awike au asiwike lakini lazima kutakucha tu hatimaye leo Segerea tunapewa haki yetu.

Hata kama ni ubashiri lakini bora ndiyo masikio yangu yamejiandaa kusikia basi kheri kwangu. Ngoja na mimi nijiunge na kucheza sebene kusherekea.
 
ccm chama makini sana, hyo kesi leo wanashnda bila shaka, CDM nawapa pole mapemaaaaa, kwanza kesi yenyewe haina mashiko kabsaaaa poleni nduguzangu CCM ipo juuu achen unafki jaman.

IPO juu kwako kwa sababu ya offer unazopewa kila siku na mafisadi ...WE KULA KULALA AU NINI...Kama una hukumu weka hapa tuisome tujue ccm imeshindaje.
 
Mkuu 3squere embu update basi yanayojiri huko,maana naona hakuna anaetu update zaidi ya porojo tu
 
Baada ya muda nitatoka (sign out) kwenda kumpeleka mtoto wangu shule nikifika kazini nitakuwa hewani kufuatilia kinachoendelea mahakamani...... Huku Tabora jamaa zangu wa CHADEMA wanasubiria kwa hamu kuhusu hukumu hiyo....


Tabora mjini kuna CHADEMA KWELI???? Mi naona miongoni mwa mikoa ambayo watu wake wamelala kisiasa, Tababora inaweza kuwa ya kwanza. Sidhani hata kama kuna diwani wa chama cha Upinzani....mwenye detail inipe.....

Tunasubiri updates za ukweli ikiwezekana na picha baada ya hukumu...

Pamoja sana wakuu....viva cdm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom