cuf ni kweli mnaweza recodi zenu zinafahamika, tunawaomba cdm ambao ni ccm ( c ) wajifunze kutoka kwenu waache tamaa hawawezi kufanikiwa kama, wanashindwa hata kufanya kazi na vyama vingine,hivi wataweza kuiongoza TZ yenye watu wenye dini tofauti kabila tofauti, au ndio itakua serikali ya...