Chukua vyeti vyako vyote nenda baraza la mitihan. Wafatilie hcho chet huyo mtu mwngne kakipataje na nimwaka gan, je uliwezaja kufanya applcatn za vyuo kama chet kinashida. ? TCU hawakuliona hlo?mpaka mwsho ukapata chet cha undergraduate? Utajua kila kitu brother
hope.1985. wewe hunauelewa wowote kuhusu Rc. tena futa hiyo kaul na usiiandike tena hapa thn hizo sanamu unazozisema wewe zinakusumbua nini. usituletee upumbavu wako hapa wewe kama kanisan kwenu wanashindwa kuwafundisha mambo yanayo wahusu nyie mnaanza kufundishwa mambo ya Rc ur wrong hakuna...
hope 1985. huna hata aibu sd ndo nini sijui. we unajiona umefika. Rc wamekukosea nini si uwaache na mambo yao huwa hamna kaz za kufanya ndo maana kwenye ibada zenu kaz kuhubir mashehebu ya watu kama si unafiki ni nn. by the way Rc huwa wanafanya mambo yao kwa utaratibu wao hawamuingilii mtu...
the boss aheshimiwe na nan? nakwalip? hzo ni stage zake binafs zakupanda katka maisha. kwan ulosomanao wewe wangap mateja au maisha hayajawanyookea? akehishimiwe kwenyefamilia yake.
kipoma ukimwi na uzinz hauchagui chuo kikuu wala wavijijin. hujalazimishwa kuoa wachuo kikuu wewe kaoe ambae hajaenda shule kabsa ili asije akawa mzinzi na msipate ukimwi. coz naona uwezo wako wakufikiria umeishia hapo unaona soltn nikuwa na darasa la 7.
haina maana kwako. kaoe darasa la nne cz hata uwezo na akil ya kuishi na mdada alomaliza chuo kikuu hauna. wenzio wameoa hao wachuo kikuu na wanaona maana kubwa tu yakuao mdada mwenye elimu. afu unaonekana unawivu roho inakuuma wadada kusoma chuo kikuu sidhan kama ukipata mtoto wakike...
huyo sio rafiki mzur atakudhuru achana nae kabsa tena hakupendi kunakitu anachokitaka kwako tena kinainekana si kizur. siri gan wewe unataka kufanyanae had umfiche mumeo. atakuvunjia ndoa achana nae tena mpige marufuku atambue kabsa hutak upuuz wake
watu hatupendan na hatuaminiki kuwa makin sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.