Kwanini SAUT wawe wababe kiasi hiki?

Hawa jamaa huwa wanajifanya wajuaji sana na tamaa ya kuongeza vyuo huku wameshikilia ardhi kubwa Mwanza main compus kujenga hawawez wanatuletea mapori ndani ya jiji! Tibaijuka wanyang'anye ardhi watu wajenge jiji lipendeze shenz gete!

mbona sioni connection.......swala la ardhi linahusiana vipi na kilichoulizwa hapa...kwa taarifa yako walikuwa wanaimiliki kabla hata ya wazazi wako hawajazaliwa.....na wataendelea kuimiliki na huwezi wafanya kitu.....walishajaribu wengi kuwanyanganya...waliishia kushindwa.......aliyekuambia wameshindwa kujenga ni nani.......watajenga muda wanaotaka na sio kwa vishinikizo vya mtandaoni
 
Sina chuki ila huo n ushaur wajenge kwanza chuo kimoja kieleweke sio kuwa na tamaa! huwaioni UDOM au UDSM vinavyovutia na kuchochea maendeleo sehemu vilipo wao wanaendelea kukumbatia mapor na vichaka katikat ya jiji huku wanakimbilia kuanzisha vyuo mikoani?

...je unajua Ni asilimia ngapi udsm na udom wanamiliki na Ni vichaka,,, for ur info Udom wanamiliki hector 60000, mara kumi ya SAUT, so nenda kafanye research ujue wametumia asilimia ngapi ya nafasi Yao, usikurupuke.
...isitoshe SAUT imewaletea maendeleo Sana watu WA mwanza, ukitaka kujua hili fuatilia economic trend since Chuo kimeanzishwa, pia waulize wakazi WA maeneo jirani na Chuo, na wafanya biashara kwa ujumla.

...hao wengine wanaokiponda, siwashangai coz they are just radicals kwani wanaweza kuiponda hats nchi Yao.
 
Hawa jamaa huwa wanajifanya wajuaji sana na tamaa ya kuongeza vyuo huku wameshikilia ardhi kubwa Mwanza main compus kujenga hawawez wanatuletea mapori ndani ya jiji! Tibaijuka wanyang'anye ardhi watu wajenge jiji lipendeze shenz gete!

Hakuna dhehebu tajiri duniani kama RC, hata KIKWETE anafahamu hilo ndio maana amewaomba wajenge Hospitali ya Rufaa ya Msma. Wana Hospial kila mahala, wana shule kila mahala hadi zingine wameizimisha serikali (mf Sumba, Nganza, Musoma Tech, nk). Hakuna chuo chochote kikubwa hapa E.Africa iwe Kenya, Rwanda, Burundi, Ug au Tz kisicho cha serikali kisiwe cha RC. Tazama maeneo ya town yote hapa bongo, lazima ww na kubwa na liwe potential(they are so strategic). Hapa tanzania toa UDSM, UDOM,SUA,IFM japo vinatoza karo na bado vinapata ruzuku na misaada toka serikalini na nje ya nchi lakini hamna chochote wamefanya, taja chuo cha private unachoweza linganisha na SAUT. Use facts rather than words with no evidence.
 
SAUT sio chuo, ni secondary. Vyuo ni UDSM,SUA , MZUMBE na UDOM ukishindwa kabisa kasome IFM au IAA. Umeenda choo cha kike, SAUT ni chuo cha wanafunzi waliopata division 3 na 2 za mwisho. Ila jitahidi umalize mwaka wa mwisho, masters kasome UDSM uimprove cheti chako cha SAUT

Wewe wa sema
Ni katka hali ya kutafuta
#sawa .
 
hao ndio SAUT nawapenda sana
moja mwanafunzi ujifanya mjanja mjanja kulipa ada unaumbuka
mbili ukijifanya mjanja mjanja ki academic at the end unaumbuka
tatu wakatoriki wananjenga mtu kujua wajibu wake si porojo na siasa wewe kama umeamua kusoma acha mambp mengine soma ukiona mambo yamepandan milango iko wazi ailisja mwaka

sasa wewe baada ulipe ada unajifanya mfanyabishara, mpenda anasa, unatakas kuishi maishi kama mtumishi lazima ikukost

kwa wale mnaoshindwa lipa ada kwa wakati pelekeni tarifa mapema mwanjonde anapokea n fine hupati wewe omba special exam to tarifa wanakubali

siyo uchezee pesa hesabu zigome uje ilaumu SAUT wewe utakuwa una matatozo.

unato.....roshwa,mse...negal ww
 
sina chuki ila huo n ushaur wajenge kwanza chuo kimoja kieleweke sio kuwa na tamaa! Huwaioni udom au udsm vinavyovutia na kuchochea maendeleo sehemu vilipo wao wanaendelea kukumbatia mapor na vichaka katikat ya jiji huku wanakimbilia kuanzisha vyuo mikoani?

don't be selfish.think outside the box,let the wings be spread all over the regions even villages to enable flexibility of study.
 
mimi ni product ya SUA enzi za DVC Kambarage, miaka mitatu nililipia fedha ya registration ya first year tu, tena nilipokuwa naanza ili nipate usajiri, toka hapo sikulipa fedha yoyote hadi namaliza zaidi ya kulipia accomodation fees ambayo ni elfu 60's per semister, nilienda kulipa baada ya kuhitaji gamba langu, nikawauliza mnanidai shiling ngapi.? Nitakumisi kambarage, nitakumisi Sua.
 
Toeni ada kwa wakati,acheni kuzungusha au kuponda raha kwanza.Mkienda kinyume chake dawa ni faini tu.Mkigoma Warumi hawataona shida kuwafukuza kwa vile hata moto mkubwa huanza cheche.
 
Not fair hata kidogo! Kanisa lilinatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhudumia na kuwahurumia maskini! Wasisome bure ila hiyo tozo hapana!
 
mhurumiwe mara ngap? ada yenyewe ndogo bado mnalalamika. hamna shukrani.
 
Nilisoma hicho chuo ila nakichukia sana!!!wanaongoza kwa kuchakachua matokeo..na kama sikosei naskia kila mwaka wanaongeza ada na hizo fine zao!! I hate warumii kwa kweli walinitesa sana
 
Huu ni ukatili sana, namshukuru mungu nilimaliza chuo mwaka jana, maana nimesoma ruco tawi la saut maana nao wameiga tabia za saut
 
mimi ni product ya SUA enzi za DVC Kambarage, miaka mitatu nililipia fedha ya registration ya first year tu, tena nilipokuwa naanza ili nipate usajiri, toka hapo sikulipa fedha yoyote hadi namaliza zaidi ya kulipia accomodation fees ambayo ni elfu 60's per semister, nilienda kulipa baada ya kuhitaji gamba langu, nikawauliza mnanidai shiling ngapi.? Nitakumisi kambarage, nitakumisi Sua.
Vyuo vya serikali vina fedha nyingi.

Pamoja na kukusanya tuition fees, bado mishahara yao inatoka serikalini, si katika hizo fees.

Isitoshe, serikali bado inapeleka pesa za OC, ambazo ni kwa ajili ya utawala.

Zaidi ya hayo, bilateral donors kama NORAD SIDA JICA n.k. wanaposaidia Elimu ya Juu Tanzania pesa inaenda kwenye vyuo vya serikali.

Iwapo vyuo vya binafsi vikiwa na uzembe wa kukusanya mapato yao, vitashindwa kulipa gharama zake.

miaka mitatu nililipia fedha ya registration ya first year tu, tena nilipokuwa naanza ili nipate usajiri, toka hapo sikulipa fedha yoyote hadi namaliza
Hiyo hasa ndio sababu ya kuweka hiyo fine ya kuchelewa kulipa.

Sheria yoyote lazima iwe na mechanism ya kui enforce. Kama hakuna, kutakuwa na incentives za kuvunja sheria.

Walichofanya SAUT ni kutengeneza DISINCENTIVE ya kuchelewa kulipa ada kwa uzembe. Usipokuwa na msimamo huwezi kuendesha chuo kinachotumia zaidi ya Billioni tatu kwa mwezi.
 
Nilisoma hicho chuo ila nakichukia sana!!!wanaongoza kwa kuchakachua matokeo..na kama sikosei naskia kila mwaka wanaongeza ada na hizo fine zao!! I hate warumii kwa kweli walinitesa sana
Chuki yako haitamdhuru mtu mwingine yeyote isipokuwa personality yako.

Jifunze kusahau mambo ambayo hukuyapenda maishani mwako.

Pia uwe mkweli, hayo uliyoandika hayana ukweli. Uchakachuaji wa matokeo, una ushahidi? Ada hazipandishwi kama unavyodai, na ni za chini kuliko vyuo vyote vya binafsi Tanzania.
 
Back
Top Bottom