Recent content by rwechungura16

  1. rwechungura16

    Matumizi sahihi ya body splash, body spray na perfume

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] post yako na hiyo avatar umetisha mkuu
  2. rwechungura16

    Lucky Dube vs Alfa Blondy nani mkali zaidi katika reggae?

    Kwani ni yupi anae skika sana ? Tukiweka mapenzi binafsi pembeni ??
  3. rwechungura16

    Kazi ya Polisi ni Kama ina Laana, Kumpiga Mzee kama huyo Nyamongo, Siyo sawa kabisa

    Sorry did u read the part where i said that I don't mean no offence ? That statement was merely meant to be rhetorical cause I personally don't relate ganja with violence or any sort of negativity, relax bro u've gotta sense sarcasm when u see one, peace out
  4. rwechungura16

    Kazi ya Polisi ni Kama ina Laana, Kumpiga Mzee kama huyo Nyamongo, Siyo sawa kabisa

    I don't mean no offence lakini mimi personally nilisha jiaminisha kuwa hawa jamaa wanavuta mjani, yani sjui kwanini hata nikikutana tu na either polisi au mwana jeshi imani yangu hua ina nituma kuwa nna pishana na mvuta ganja na mda wowote hali ya hewa inaweza kuharibika, hawapo friendly kabisa...
  5. rwechungura16

    Steve Nyerere amponda Erick Omondi, adai watanzania wanaomkubali ni wajinga

    Kwahiyo Anaye julikana kwa jina la Steve Nyerere anasema Wazi wazi kabisa kuwa "Wa Tanzania ni wajinga" ???
  6. rwechungura16

    Hatimae Naona Kama 1+1 = 2 Inaleta Maana

    Penye ukweli uongo hujitenga...it's only a matter of time
  7. rwechungura16

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    huko twitani bwana meneja nae yu matatani [emoji23][emoji23][emoji23]...hii wiki itakua tam sana [emoji23]....hivi BCW wanakulaga nini
  8. rwechungura16

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Jamaa sijui kala nini, mi nilijua baada ya alicho kifanya jana pamoja na majibu ya mwenzake leo labda angejitafakari lakini ndio kwanzaa anaendelea kutapika...kazi ipo
  9. rwechungura16

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Yeah mmoja kamwambia mwenzake kuwa anapumuliwa kwa maana ya shoga na amedai pia kuna mengi zaidi anayajua na ameamua kumsitiri na kibaya zaidi ni sio story ya kuficha kwa maana alimtaja hadi jina kabisa, kwani jana hukusikia kwenye interview yake XXL ?
  10. rwechungura16

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Duh hiyo nayo aliisema ommy dimpoz ?
  11. rwechungura16

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    zingerushwa ngumi, yani unakutana na mtu ambae jana kasema unapumuliwa and the like...alafu ilikua sawa this way maana unapata kusikia story za pande zote mbili bila majibizano then hayo mengine ndio yanafuata...
  12. rwechungura16

    Clouds Fm na muziki wa singeli

    Wao wanajitahidi kupata coverage ya kutosha, kutokea wazee, vijana, watoto katika nyanja tofauti tofauti kulingana na umri, class ya watu na vitu kama hivyo ili kupata coverage ya kutosha, mimi personally hua nnazima akishaanzaga yule kichaa wao anaitwa kicheko sijui mana ni makelele tu
  13. rwechungura16

    Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

    Aisee...watu wanatetea hata wasicho kijua, mwenyewe mwenye nyimbo anasema nyimbo ineshatoka na inasambazwa ulaya (tunayo isikiliza) lakini wateja ndio ma producer na wana dai eti ni vipande vimeunganishwa/demo mara sio yenyewe...kwa maana hii ina maanisha kwa wanavyo dai ni vipande ni kuwa wana...
Back
Top Bottom