Recent content by RWE

  1. R

    Ni sahihi Mh. Rais kuzungumza lugha ya kabila lake katika mkutano wa hadhara?

    Ukitaka ueleweke vizuri kwa jamii fulani basi tumia lugha yao.Hapa alikuwa anatoa majibu ya maswali yao,wala hayatuhusu.Hata mmisionari alipotaka neno lieleweke mapema alianza na kujifunza kikabila cha mahalia.Hata hivyo yeye ni msukuma,sasa afanyeje?
  2. R

    Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

    Angalieni Kiswahili chenu
  3. R

    Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

    Ni kufanya wamejifunika shuka huku wamezima taa
  4. R

    Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

    Wapo waliowahi kumfukuza kichaa asije nyumbani kwao, kumbe wanamfukuza Yesu, sasa nahilo lipime ukiona vipi mhudumie huwezi jua.
  5. R

    Mtumishi anaevaa sare za chama akiwa ofisini na mtu anaendesha vikao vya chama Ikulu, wana tofauti?

    Kikwete aliondoka madarakani, akamwacha Wasira,"Yupo"
  6. R

    Mawakili wa Lema wafungua kesi mahakama kuu wakitaka Lema afikishwe mahakamani

    Alafu mtu mwingine anasimama anasema atakfa
  7. R

    Mliosema Rais kaandaliwa maswali mnajisikiaje?

    Kwani akiandaliwa kuna tatizo?
  8. R

    Nape Nnauye atakuwa na vyeti feki? Tunaomba vihakikiwe, CV yake haieleweki

    Hivi nyakati hizo Afisa elimu wa Singida alikuwa ni nani? Mbona washukiwa wengi walianzia Singida. Ebu chomeka wengine tuone
  9. R

    Imani ya mama inanitatiza

    Kama tulikuwa na mawazo sawa. Hapo ndipo mawazo ya kucharanga mapanga huanzia
  10. R

    Imani ya mama inanitatiza

    Waganga wa hospitali pia wapo wa kienyeji, wanatibu mtu aliyepata ajali kama kuunga mifupa kwa haraka kuliko maombi. Ajali ya baba yako ilikuwaje...
Back
Top Bottom