Imani ya mama inanitatiza

Imani ya mama inanitatiza

ninachojua kuna uganga kwa maana ya tiba za jadi na uchawi.... sasa mama yako sjui yuko upande upi.
Ole wake anayemtegemea mwanadamu na kumuweka yeye kama kinga yake. Hakuna mganga anayependeza machoni pa mungu usiharamishe haramu kuwa halali
 
Ole wake anayemtegemea mwanadamu na kumuweka yeye kama kinga yake. Hakuna mganga anayependeza machoni pa mungu usiharamishe haramu kuwa halali
Nafikir hujanielewa mkuu ila tufanyaje yamepita
 
Ndio kinachoniumiza mama yangu anaangamia hivi hivi kweli?
Jitahidi sana umbadilishe.
Tatizo si kuwa anaangamia peke yake ila vitu anavyopewa huko ugangani anavileta nyumbani na vitawaangamiza wenye imani haba hapo nyumbani.
Mfano mzuri mdogo wako lazima atamshawishi aende au amuendee mwenyew kumrekebishia kumbe anamwangamiza mwanae mwenyewe.
Simamia imani na hakikisha familia yote inabase kwenye imani ili hata hivo vitakavyoletwa huko ugangani vikose nguvu.
Halafu waganga wanatabia ya kuharibu familia za watu mana hashindwi kumwambia ndugu yako ndo kakuchezea na hapo ndipo amani huwa inatoweka.
Mungu akusimamie katika kipindi hiki kigumu.
 
Kama ni kitu ambacho anaamini,mwache aendelee nacho. Kuna vitu vingi sana duniani ambavyo sayansi imeshindwa kuthibitisha na mojawapo ni Nguvu mbalimbali kama anazoamini mama yako.
 
Maombi yako yana nguvu ya kumbadilisha. Usikate tamaa kumwombea.
 
Mungu pekee ndo atakae mtoa huko usiache kumuombea na kuamini Mungu atatenda kwa wakati wake
 
Mbona mimi sioni tofauti ya mama yako na hao unaowaita watumishi?

Watumishi wamekwambia mdogo wako KAFUNGWA NA WATU, kwangu mimi naona kama waganga wa kienyeji tu hao watumishi
Nilitaka ku-comment hivyo..

Watumishi sijui wachungaji wa Kilokole hawana tofauti na Waganga wa kienyeji..
 
Pole sana mkuu! Muombe Mungu kuhusu hilo jambo, wakati ukimuomba Mungu muombe akupe ujasiri wa kuongea na mama yako ili umshauri amtegemee Mungu pekee na kuachana na waganga.

Akikubali...glory to God! Akikataa endelea kumuombea, kuiombea familia na kujiombea mwenyewe. Kadiri utakavyokuwa ukiomba utajua namna ya kuendana nae.

Namaanisha Mungu atakuwa akikupa namna mbali mbali za kuenenda. Mf unaweza kuplan kwenda kumsalimia mama siku fulani but ukakosa amani, ukaenda siku nyingine. Kumbe siku uliyoghairi kuna jambo baya liliepushwa.

Endelea kumpenda na kumthamini huku UKIMTEGEMEA NA KUMTUMAINI MUNGU TU! Huwa ni Mwaminifu na habadiliki!

He never changes as human being do!
 
Nilitaka ku-comment hivyo..

Watumishi sijui wachungaji wa Kilokole hawana tofauti na Waganga wa kienyeji..
sio wote watakao niita BwanaBwana ndio watakao urithi ufalme wa mbinguni bali wale wayatendao mapenzi ya Mungu.
 
Jitahidi sana umbadilishe.
Tatizo si kuwa anaangamia peke yake ila vitu anavyopewa huko ugangani anavileta nyumbani na vitawaangamiza wenye imani haba hapo nyumbani.
Mfano mzuri mdogo wako lazima atamshawishi aende au amuendee mwenyew kumrekebishia kumbe anamwangamiza mwanae mwenyewe.
Simamia imani na hakikisha familia yote inabase kwenye imani ili hata hivo vitakavyoletwa huko ugangani vikose nguvu.
Halafu waganga wanatabia ya kuharibu familia za watu mana hashindwi kumwambia ndugu yako ndo kakuchezea na hapo ndipo amani huwa inatoweka.
Mungu akusimamie katika kipindi hiki kigumu.
Kweli kabisa!
 
There's a very thin line between the so called & self crowned "watumishi" and waganga/wachawi/wasanii. A very thin line. Just saying.
 
Waganga wa hospitali pia wapo wa kienyeji, wanatibu mtu aliyepata ajali kama kuunga mifupa kwa haraka kuliko maombi. Ajali ya baba yako ilikuwaje...
 
Mbona mimi sioni tofauti ya mama yako na hao unaowaita watumishi?

Watumishi wamekwambia mdogo wako KAFUNGWA NA WATU, kwangu mimi naona kama waganga wa kienyeji tu hao watumishi
Kama tulikuwa na mawazo sawa. Hapo ndipo mawazo ya kucharanga mapanga huanzia
 
Wanafiki wengi kweli humu... Utadhani hamjawahi kwenda kwa waganga!
 
Hata ile hamu yakwenda nyumbani kusalimia imeniisha kabisa, maana tunaombaga pamoja yaani anyway nitazidi kumuombea
Usikate tamaa, endelea kusimama imara kwenye imani ukizidi kumuombea mama yako ilo pepo limtoke pia endelea kumuombea na mdogo wako, usisahau kufunga na kuomba Kwa imani. Mungu wetu ni mwaminifu atakujibu.
 
Nilitaka ku-comment hivyo..

Watumishi sijui wachungaji wa Kilokole hawana tofauti na Waganga wa kienyeji..
Nikweli kutokana na kwamba technical karibu zote anazotumia shetani alizicopy kutoka kwa Mungu, kwahiyo basi huwa anatumia kwa namna ya uangamizi sio msaada, kwamaanahiyo maagizo anayotumia mganga wa kienyeji yanatoka kwa spirit ya shetani na mmagizo anayotoa mtumishi wa Mungu yanatoka kwa spirit ya Mungu, sometimes wote wanaweza sema kitu kimoja ila namna yakutatua ikawa tofauti kabisa, kwa Shetani Kuna majuto na kufeli sana ila kwa Mungu Kuna amani na ushindi wakati wote
 
Kama tulikuwa na mawazo sawa. Hapo ndipo mawazo ya kucharanga mapanga huanzia
Imeandikwa wana wa Giza wana hekima kuliko wana wa Nuru, hiyo haipingwi, style wanazotumia waganga wa kienyeji ndio hizihizo anatakiwa kutumia mtumishi wa Mungu kinyume , mganga akisema nimefungwa mtumishi wa Mungu anasema nimefunguliwa e.t.c
 
Si unasali muombee.......Sali funga mwenyewe muombee sio utegemee mtu/ mchungaji.....maombi huanza na wewe kwanza

Halafu hii style ya wachungaji kudai watu wamefungwa na fulani au fulani huwa siiielewagi
 
Back
Top Bottom