Uloi nga mache 68?hacha utani,kama uko kwenye familia ya vigogo sawa,tuulize sisi tunaoangaika ,mimi mama kanisomesha kwa kuuza kuni mzigo Tsh 200/-wenzangu wanakula chapati mm napata uji mtupu,,,,,,tunawapa kura ukawa kwakuwa Wameungana watu waliokuwa na nia ya kuwa marais ndani ya vyama vyao...